Doctor Makunga
Member
- Jul 9, 2019
- 9
- 12
Profesa Kabudi anafanya kazi nzuri,ni mmoja wa mawaziri wanaofanya kazi zao kwa weledi na ufanisi mkubwa,jambo moja haliwezi kummfanya Profesa Kabudi aonekane kashindwa kazi wakati mambo mengi makubwa kwa nchi ameyafanya na anaendelea kuyafanya.
Kwa mfano Prof Kabudi ndiye aliyeandesha mazungumzo ya Barrick kwenye sekta ya madini.
Prof Kabudi ndiye aliyeendesha mazungumzo na kampuni ya Airtel wakakubali kuongeza share za Serikali kutoka 40% hadi 49 % pamoja na kutoa Us$ 1,000,000 msaada kwa Serikali ya Tanzania na Tshs Bilioni 60
Prof Kabudi kaleta shs bil 60 msaada kutoka China usiokuwa na masharti,msaada kwa ajili ya upanuzi wa hospitali ya magonjwa ya moyo ambayo itakuwa kubwa kuliko zote katika bara la Afrika na itahudumia wagonjwa kutoka nchi zote za Afrika.
Kabudi kawezesha kupatikana kwa idadi kubwa ya watalii kutoka china yote hayo yana impact kwa uchumi wa nchi hii.
Suala la namna ya kuzungumza kwenye interview mtu yeyote anaweza kuteleza kuzungumza na baadae kuapologize sio jambo la kushangaza
Kwa mfano Prof Kabudi ndiye aliyeandesha mazungumzo ya Barrick kwenye sekta ya madini.
Prof Kabudi ndiye aliyeendesha mazungumzo na kampuni ya Airtel wakakubali kuongeza share za Serikali kutoka 40% hadi 49 % pamoja na kutoa Us$ 1,000,000 msaada kwa Serikali ya Tanzania na Tshs Bilioni 60
Prof Kabudi kaleta shs bil 60 msaada kutoka China usiokuwa na masharti,msaada kwa ajili ya upanuzi wa hospitali ya magonjwa ya moyo ambayo itakuwa kubwa kuliko zote katika bara la Afrika na itahudumia wagonjwa kutoka nchi zote za Afrika.
Kabudi kawezesha kupatikana kwa idadi kubwa ya watalii kutoka china yote hayo yana impact kwa uchumi wa nchi hii.
Suala la namna ya kuzungumza kwenye interview mtu yeyote anaweza kuteleza kuzungumza na baadae kuapologize sio jambo la kushangaza