Hivi Mbowe atastaafu lini uenyekiti?
Fikra zake zimefika mwisho,
Chadema hivi ilivyo ni kwa sababu mwenye kiti uwezo wake wa kufikiri umefika mwisho
Tunataka mwenyekiti mpya
Mwenye mawazo mapya
Mungu zidi kuibariki inchi yangu
Viongozi wake na watu wake
Kila Kilicho kinyume na nchi yangu na viongozi wa serikali, Mungu kiharibu na kukitupilia mbali
Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.