BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,501
Habari za hivi punde kutoka Kenya ni kwba askari Polisi wa Usalama Barabarani wote wamabadilishiwa majumu waende kuwa askari wa kawaida.
Haya ji moja ya maamuzi magumu ya hawa jamaa aiswe. Hii ni baada ya kuona trafiki wako busy na rushwa ilihali ajari zikiongezeka na oia kutokana na complain ya rai kuhusu kukisili kwa vitebdi vya rushwa miongoni mwa trafiki.
Hakuna tofauti sana kati ya trafiki wa Kenya na wa Tanzania kwenye swala la kuomba rushwa.
Haya ji moja ya maamuzi magumu ya hawa jamaa aiswe. Hii ni baada ya kuona trafiki wako busy na rushwa ilihali ajari zikiongezeka na oia kutokana na complain ya rai kuhusu kukisili kwa vitebdi vya rushwa miongoni mwa trafiki.
Hakuna tofauti sana kati ya trafiki wa Kenya na wa Tanzania kwenye swala la kuomba rushwa.