Chakula SI ada ya shule, mzazi yeyote hata sita kumtolea mwanae sh.10,000 kwa mwezi kwa ajili ya chakula. 330 tsh everyday nikiwango kidogo Sana kwa mwanafunzi Kula kwa siku sawa na bureeeee. Hapa DSM mzazi umpatia at least sh 2500 mwanae Kila siku ya nauli na mihogo, mbona hawalalamiki.
Ndugu wanajukwaa naisikiliza kwa makini hotuba ya Mwenyekiti anaeng'atuka ambayo imejaa experience ya uongozi ndani ya chama.
Kulingana na hotuba hii ni dhahiri kwamba JK anatembea kifua mbele kwa kuwa mwenyekiti mwenye sifa kamili za kukiongoza chama hiki kikongwe nchini.Mwenyekiti mtarajiwa...
Kumsifia Rais kwa utendajiwake Ni jambo la hekima na busara kubwa. Si rahisi kwa wapinzani kufanya hili jambo.
Hongereni Sana, dhana kuwa wapinzani kazi Yao Ni kupinga Kila kitu kweni imekuwa tofauti.
Hongereni sana
=======
LOWASSA NA MBOWE WAPONGEZWA KUWABANA BAVICHA
DODOMA - Viongozi wa...
Wazee Wa CHADEMA wampegeza Rais Magufuli kwa utendajikazi hasa kwa juhudi zake za kupambana na ufisadi. Pia wazee wamemtaka Rais kukamilisha mchakato Wa katiba.
Pungezi nyingi kweni, hii inaonesha ukomavu kisiasa na kuepuka dhana kuwa wapinzani kazi Yao nikupinga Kila jambo.
Hongereni Sana...
Ndugu zangu wapenda haki na demokrasia ya kweli nidhahili pasipo shaka Serikali imekuwa ikotoa matamko kupitia viongozi wake WA ngazi mbalimbali, baadhi ya kauli zimekuwa zikitafasiliwa wazi kuwa zinakandamiza Uhuru wa siasa za vyama vingi hasa vyama pinzani.
Bila kumumunya maneno jeshi la...
Rais kanishitua Ila mwisho kamalizia vizuri' ndalichako anapitia hayo majina, waliofahulu kwa division one and two tutawatafutia vio vya kusoma" mjomba usihofu, subiri mtapewa taarifa
Kukandamizwa kwa demokrasia nchini ni matokeo ya katiba mbovu. Hili taifa liweze kusonga mbele linahitaji kuwa na katiba bora inayompatia fursa mwananchi wa chini kuweza kusimama na kupigania haki bila kuhofia makucha ya wakandaminazi.
Katiba mbovu tulionayo sasa imekuwa faida kubwa kwa chama...
Alicho kifanya aliekuwa waziri wa mambo ya ndani kuingia bungeni na kujibu maswali ya wizara akiwa amelewa ni fedhea kwa Taifa letu. Leo hii tunapambana na madereva walevi sasa ni mawaziri walevi..nini hasa kimemsibu huyu Kitwanga hadi kudhalilisha taifa, hata kama Una power kiasi gani basi weka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.