Marehemu atakumbukwa kwa mengi. Huko huko Jkt Ruvu siku tumekwenda kulinda mahindi. Si tunachukia debe la kuchemshia mahindi tukifika tunatayarisha moto, maji jikoni, kukwanyua mahindi mti wa mhindi unabaki wima. Wakati huo kuna patrol njia zote asije tokea kamanda tukapigwa taiti. Siku ya kufa...
Kuna rafiki yangu mmoja aliiba mayai Ruvu JKT OPERESHENI TUJISAHIHISHE sasa akipita eneo la admin Kamanda marehemu Mlay akamwona. Akamwita akamwambia lala chini vingirika yale mayai yakavunjika combat yote upande wa chini ikalowa akamwambia nenda. Alikuja kule kombaini B yuko hoi kutueleza...
Hivi nguzo za umeme ni shida? Nimeomba kubadilishiwa nguzo ya umeme toka May 2017 leo Dec 2017 naambiwa nguzo hakuna. Iliyopo imeoza nimeripoti kwa meneja Tabata mpaka imekuwa kero nifanyeje?
Na iliyopo ikianguka nini kitatokea kwenye kibanda changu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.