Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Ndugu Zitto Kabwe na Mbunge Moses Machali wamefunika kwa umati Mkubwa wa watu katika mji wa Kigoma Mjini.
Mkutano huo umefanyika katika Viwanja vya Kahabwa Gungu.
Dr. Slaa na Prof. Beregu mbioni kujiunga na ActWazalendo baada ya kuona ubabaishaji unaoendelea ndani ya UKAWA alisikika akisema hatoki UKAWA sababu ya kukosa nafasi ya kugombea Urais bali anaona ni kujidhalilisha kwa kula matapishi yake na msimamo wake wa kuupinga ufisadi alisikika akigomba...
Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Ndugu Zitto Kabwe leo anatarajiwa kumpokea Mbunge Moses Machali ktk Chama cha ACT-WAZALENDO.
Machali anapokelewa na Wanachama wapya kutoka NCCR-MAGEUZI wanachama 798 na Viongozi wote wa Kata wa Jimbo la Kasulu Mjini.
Machali anapokelewa na Kiongozi wa...
Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini Moses Machali ametangaza rasmi kuhamia Chama cha ACT-WAZALENDO na kuachana na Chama cha NCCR-MAGEUZI.Machali amekuwa Naibu Katibu Mkuu wa NCCR-MAGEUZI, amefikia uamuzi huo baada ya kulizika na sera,falsafa na itikadi za Chama cha ACT-WAZALENDO Chama...
Baada ya Zitto kutoa orodha ya WATANZANIA walioficha fedha zao kwenye TAWI MOJA PEKEE LA BENKI YA HSBC nchini USWISI, mjadala mkubwa uliotawala Social Media unahusu ASILI YA WATANZANIA wale; hauhusu whether fedha za watu hao ni halali, au haramu..hauhusu ukiukwaji mkubwa wa sheria uliofanywa na...
Katika mwendelezo wa ziara ya kukitambulisha chama, leo chama chetu cha ACT Wazalendo kitakuwa Mkoa wa Pwani jimbo la Kibaha Mjini. Mkutano utafanyika maili moja kuanzia saa nane mchana.
Mkutano utahutubiwa na kiongozi wa chama ndugu Zitto Zuberi Kabwe, akisindikizwa na wengineo akiwemo...
Nikiwa nimepiga kambi hapa ktk Viwanja vya Tropicana Mabawa ktk Jiji hili la Tanga,naona Wananchi wameshaanza kuwasili ktk Viwanja hivi vya Tropicana,kwani Leo siku ya Jumamosi Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Ndugu Zitto Kabwe akiambatana na Mama Tery na Afande Sele watafanya Mkutano Mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.