Tangu msikie Mkuu hua anapitia post za social media mmekua wehu sana.
Unatetea ujinga kwa kua tu utawafurahisha watu fulani.
Any way komaa hata Bashite alitoka kwa staili hiyo!.
CLOUDS FM kimyaaaa! Hiyo kashfa ya kufoji vyeti ingekua ya Msigwa, Lissu au Mbowe, ingekua habar ya wiki nzima kuanzia PB, LEO TENA, XXL, JAHAZI ,SPORT EXTRA had ARA ZA ROHO.
Tehetehe! Imeshika pabaya
Mkuu unaishi wapi? Operation ya watumishi hewa na vyeti feki umeifuatilia.
Bora ungecomment bila kutukana coz na wewe hujui kitu.
Nna rafiki yangu kasoma kilimo na ni mtaalamu wa kilimo na mchapakazi had wakulima walisikitika kuondoka kwake.
Tatizo ni kwamba alienda kusoma form six kwa cheti...
Habari wapendwa!
Kuna muda kadiri mambo na matukio mbalimbali yanavyoendelea mtu unatamani kama ungekua kama mtu fulani/cheo fulani/fani fulani.
Mimi naanza kwa kusema
I WISH I COULD BE A "LAWYER"
Hahahaa ni vizuri lakin kwa nn usubir watu wapewe pesa ndio utangaze warudishe?.serikali yetu bana yaani hapo wangetangaza kuzuia kabla ya watu kupewa pesa tamko lisinge'hit' ila wamesubir watu wapewe ili tamko litengeneze attention.
Ushauri its better tukawa 'Proactive'.
Kukua kwa uchumi( economic growth) ni halali kuendelea kuongezeka kulingana na factors zinazoangaliw mfano ongezeko la rasilimali( quantitative increase). Maendeleo ya uchumi( economic development) ni ngumu sana kuongezeka coz factors tunazoangalia ni kama ubora wa elimu, afya, maisha...
Kweli umetumwa ila bahati mbaya hujajipanga.
Umeanza na kusema ni mpenzi wa CDM ila umemaliza ukiashiria ni kada wa CCM.
Unadhan humu ndani wote ni std 7.
Mtoa maada hivi umewezaje kuupima ugumu/wepesi wa maisha kwa factor ya mtu kuweza kununua kifurushi cha intrnet? Haupo serious.
Alafu umefanya research ya ulichokiandika? Kama hujafanya inamaana na wewe pia unashinda mitandaoni mda wote. na je kushinda kwako mitandaoni inamaanisha una maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.