Recent content by Djtoc

  1. D

    Tunataka viongozi makini kama Makonda, hatutaki vyeti sisi

    Tangu msikie Mkuu hua anapitia post za social media mmekua wehu sana. Unatetea ujinga kwa kua tu utawafurahisha watu fulani. Any way komaa hata Bashite alitoka kwa staili hiyo!.
  2. D

    Sakata la Makonda lachukua sura mpya, Mameya na Madiwani kutoshirikiana na RC

    CLOUDS FM kimyaaaa! Hiyo kashfa ya kufoji vyeti ingekua ya Msigwa, Lissu au Mbowe, ingekua habar ya wiki nzima kuanzia PB, LEO TENA, XXL, JAHAZI ,SPORT EXTRA had ARA ZA ROHO. Tehetehe! Imeshika pabaya
  3. D

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Mkuu unaishi wapi? Operation ya watumishi hewa na vyeti feki umeifuatilia. Bora ungecomment bila kutukana coz na wewe hujui kitu. Nna rafiki yangu kasoma kilimo na ni mtaalamu wa kilimo na mchapakazi had wakulima walisikitika kuondoka kwake. Tatizo ni kwamba alienda kusoma form six kwa cheti...
  4. D

    I wish i could be..........!

    Funguka una wish kua nani?
  5. D

    I wish i could be..........!

    Habari wapendwa! Kuna muda kadiri mambo na matukio mbalimbali yanavyoendelea mtu unatamani kama ungekua kama mtu fulani/cheo fulani/fani fulani. Mimi naanza kwa kusema I WISH I COULD BE A "LAWYER"
  6. D

    Sheria ya 1/3 ya mshahara wa mtumishi imekiukwa

    Mbona unakua mzito kuelewa..hakuna aliekataa kulipa tatizo ni hiyo 15%.
  7. D

    Vyama vya wafanyakazi vipo wapi?

    Kutoka moyoni naichukia serikali ya awamu ya tano kuliko kitu chochote.
  8. D

    Jinsi ya Kutongoza 2017.....

    Duh! Kutongoza nako una google!!!!
  9. D

    Mhe. Rais, kwanini unapenda kututisha wananchi wako?

    Yeye anafata hiyo sheria????
  10. D

    Rais Magufuli aagiza Viongozi wa Serikali kurudisha posho za safari ya kuhudhuria kilele cha Mwenge

    Hahahaa ni vizuri lakin kwa nn usubir watu wapewe pesa ndio utangaze warudishe?.serikali yetu bana yaani hapo wangetangaza kuzuia kabla ya watu kupewa pesa tamko lisinge'hit' ila wamesubir watu wapewe ili tamko litengeneze attention. Ushauri its better tukawa 'Proactive'.
  11. D

    Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa asilimia 7.9 katika robo ya pili ya mwaka 2016

    Kukua kwa uchumi( economic growth) ni halali kuendelea kuongezeka kulingana na factors zinazoangaliw mfano ongezeko la rasilimali( quantitative increase). Maendeleo ya uchumi( economic development) ni ngumu sana kuongezeka coz factors tunazoangalia ni kama ubora wa elimu, afya, maisha...
  12. D

    Nashauri Mrisho Gambo agombee ubunge 2020 Arusha mjini

    Kweli umetumwa ila bahati mbaya hujajipanga. Umeanza na kusema ni mpenzi wa CDM ila umemaliza ukiashiria ni kada wa CCM. Unadhan humu ndani wote ni std 7.
  13. D

    Wakati Watanzania wanalalamika maisha magumu, kuna jambo linanishangaza

    Mtoa maada hivi umewezaje kuupima ugumu/wepesi wa maisha kwa factor ya mtu kuweza kununua kifurushi cha intrnet? Haupo serious. Alafu umefanya research ya ulichokiandika? Kama hujafanya inamaana na wewe pia unashinda mitandaoni mda wote. na je kushinda kwako mitandaoni inamaanisha una maisha...
  14. D

    Mchungaji ajiua baada ya kutuma picha ya uume wake kwenye Group la Kanisa

    Yaani hapo kama mm ni huyo mchngaji nningebadili maada na kuwaomba waumini tudiscus kuhusu uaminifu ktk ndoa na hiyo picha ningezuga ni case study.
Back
Top Bottom