Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
THE BIG NO TO CCMWhatever! Jumbo jimbo vyovyote vile. Come 2020. Nasimama.It is my home town and my birth right.
THE BIG NO TO CCMWhatever! Jumbo jimbo vyovyote vile. Come 2020. Nasimama.It is my home town and my birth right.
Bibi titi hawajambo?Nizamu ya kumpoteza huyo mropokaji,
Cdm imeoza pale ni Viroba tu hakuna jipya.
Gambo kiboko ya wapuuzi
Mungu mpatie nguvu na afya tele kijana
Wetu
Una matatizo ya akili wewe siyo bureMliopo nje ya Arusha ndio mtasema hivo
kweli, kundi hili ndio wenye uwezo wa kupata habari na kuchambua pumba na mchele. Sishangai ukanda wa habari kubanwa banwa ili kuzuia habari. Lakini wamesahau kuwa hawa wasomi wanajua kusoma nyakati vile vileCCM wamechokwa sana Arusha...infact sehemu yoyote yenye wasomi kiasi, kipato kizuri/kiasi, werevu na watu wenye "exposure" CCM huwa haipendwi!
ulikuwa wapi siku zote?Hapana Jimbo la Arusha mjini nitagombea Mimi. It is my birth right!
asipoangalia watamng'oaMimi ndie ninaekuambia sasa. ARUSHA MJINI haitorudi CCM. Ukombozi wa watu wa Arusha ulianza miaka mingi sana,kabla ya uhuru wa Tanganyika na sehemu tuliofikia ni kubwa sana.
Hongera sana ila kumbuka ARUSHA MJINI haitorudi CCM mpaka mwisho wa dunia.
Ukiacha Viroba utaweza kusikilizwa na ushauri wakoRudi shule ukasome
Yule diwani mmoja tena katikati ya jiji alishindaje?Arusha wamekomboka kifkra, adui mkubwa wa taifa hili ni ccm, Leo uwaambie walambe matapishi yao kwa kuichagua ccm watakubali wapi! Ccm bakini huko kwa wajinga wenzenu waliokuwa bado wanachangia maji ya kunywa na fisi
Unasahau kuwa mkuu wa mkoa ni Kada wa Chama
View attachment 405432
Ukitaka kujua hawa jamaa wanaojiita watetezi wa nchi ni wanafiki jionee hapo,mabazazi na wazandiki waliokubuhu..Laana lazma iwatafune