Ukiachana na swala zima la kuuziana magari huko nyuma ama magari kuwa garage pia kuna issue ya hawa watu wa Clearing.
Kwa kipindi kirefu huko nyuma kulikua na tabia kwenye haya makampuni ya clearing and forwarding kubaki na copy ya vitambulisho vya wateja wao wakati wanawaagizia magari...
Ndugu zangu,
Hivi jamani hizi sehemu ambazo ghafla zimekuja juu saana kwa umaarufu kwa haya majina "Massage and SPA" ni kwamba wahusika wameshindwa kubaini mwenendo wa biashara hizi ama??
mkuu wewe umefanikiwa to some point ndo maana unaona such cars kwa level yako sio tena, ila mind you ur success kwa gari unayotumia wewe sasa hivi kwa wengine ni just usafiri ila kwako unajiona una gari. Mfn; wanaomiliki ma lamborghini or ma vogue huwezi jua gari hilo lako wewe unaloliona la...
salama wakuu,
mimi navyojua chanjo zipo dunia nzima isipokua tu zinatofautiana kidogo kwa idadi mainly pia kwa kuangalia environment.
Kwa mfano SA. South Africa wanachanjo mpaka ya Flue kipindi cha baridi
Thou uko sawa kabisa ila umekosea kitu kimoja tu hapo. Kwa hivi sasa mtoto anaanza darasa la kwanza akiwa na miaka 3 na SIO 6. So kwenye hayo mahesabu yako punguza miaka 3.
Hii issue yako mkuu ni ngumu sana, sio kukuvunja moyo ila as per my knowledge,
Wizi wa pikipiki umeshamiri ndio ila hizo pikipiki hua haziendagi mbali. Zinahamishwa eneo then zinapigishwa kazi. Unaweza kua ushapishana nayo mara nyingi tu.
Wanafanyaga changes ndogo tu uc itambue kiuharaka kama...
Je? Kuna mtu hapa amefikiria labda huyo jamaa alishawahi kuvamiwa before ndo maana alireact hivyo!!!
2. Kwa yoyote hapa ambaye alishawahi kuvamiwa na majambazi ndiye mtu pekee anayeweza kujua huyu jamaa alifanya vile kwamakusudi gani!
3. Watanzania nia watu wa amani sana regardless mtu anahela...
Kwa nnavyojua from iphone 5 hapo kwenda juu ndo cmu pekee ambazo hata zikiflashiwa ile lock inarudi tena kuifanya iwe useless mpaka apatikane mwenye cmu.
Thou kwenye ulimwengu huu wa sasa its just a matter of time watakuja pata njia za kuzifungua.
Mzungu mmoja asubuhi hii aligonga daladala akajaribu kukimbia maeneo ya msikitini upanga karibia na muhimbili,
Katika harakati za kukimbia akapiga kona moja ili awapoteze wale wenye daladala majanga yakamkuta
Inasemekana alikua amelewa maana alikua anayumba barabarani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.