Naafikiana na issue ya uvivu pahala pa kazi. Watumishi walio wengi wamejisahau kabisa..nadhani ingefaa kusiwepo na ajira ya kudumu. Mtumishi awe anapewa mkataba kila mwaka ili ikitokea output yake imekua ndogo anapumzishwq anakuja mwingine hii itasaidia kupunguza mazoea ya kazi na kujisikia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.