Recent content by Djob Nkondo

  1. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Mrema: CHADEMA 'imeuzwa' ndiyo maana tumeondoka

    Jakika uchawi upo
  2. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Furaha Dominick amlipukia Askofu Gwajima: Hana uhalali wa kuongelea Utekaji, ni muongo na muhuni

    Kumbe kusambaza picha za utupu hakusingiziwa huyu jamaa
  3. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania Jifunze kuhusu AURA yako

    Mitetemo hasi na chanya ya mwana-adam
  4. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania Shida ya ukosefu wa ajira sio mfumo wa elimu tu, watanzania wengi hawaajiriki, ni wavivu na wezi

    Naafikiana na issue ya uvivu pahala pa kazi. Watumishi walio wengi wamejisahau kabisa..nadhani ingefaa kusiwepo na ajira ya kudumu. Mtumishi awe anapewa mkataba kila mwaka ili ikitokea output yake imekua ndogo anapumzishwq anakuja mwingine hii itasaidia kupunguza mazoea ya kazi na kujisikia
  5. Djob Nkondo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume mwenzangu katika pitapita zako usiombe ukutane na wanawake wa sampuli hii. Hakuna rangi utaacha ona

    Energy yake haikuachi hata ukimwacha bado itakuyesa tu kama hitochukua hatua zaidi ya kumwacha
  6. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya waajiriwa serikalini inaumiza. Benki gani inatoa mikopo yenye riba nafuu kwa waajiriwa wa serikali?

    Azania bank pekee utapata kwa riba nafuu almost mikopo yao yote iko na rate ndogo
  7. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania Benki ya CRDB yaanza kutoa mikopo ya ada Shule za Msingi na Sekondari

    Mkopo unatolewa kwa miezi sita ila riba inahajiwa kwa mwaka au mie ndo mgumu kuelewa
  8. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

    Usagara mwanza inafaa kua halimashauri ya mji mdogo
  9. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania Elon Musk ahofia kutimuliwa Marekani kama muhamiaji haramu

    South africa
  10. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa kuhusu biashara hii yenye utajiri

    Kwenye usafirishaji wa bidhaa tok tz kwenye njia inategemea na aina ya bidhaa na bei ama wateja ulowalenga wana nunuaje
  11. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania Major General Mbuge Kuwa RC kutoka Mkuu wa JKT Kapanda Cheo au kashuka?

    R.I.P Gen mbuge
  12. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania Tanganyika iungane na Kenya au iungane na Zanzibar kuunda Muungano?

    Tuunganishe kwanza wilaya ya kibondo na kasulu vijijini.
  13. Djob Nkondo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: JWTZ halina mpango wa kuvamia nchi yoyote

    Siku za usoni jeshi liwe sehemu ya kutengeneza ajira nje ya mipaka nchi za jilani zinahitaji au zina uhitahi wa ulinzi kwenye sehemu nyingi kama migodini na kwenye maofisi ni fursa kwa majeshi yetu kutengeneza ajira
Back
Top Bottom