PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Sioni sababu watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara

PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Sioni sababu watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo utata kwamba Rais anateua Tume na ni watu wanaoweza kumwegemea upande wake. Pengine tungeleta watu kutoka nje, Tume ingekuwa huru zaidi ya Uchunguzi

Asha-Rose Migiro: Ndugu Kikeke, ni miaka 65 toka nchi yetu ipate uhuru wake. Unaamini kwamba mpaka sasa hatujitoshelezi? Miaka 65 tutafute watu kutoka nje? Hivi, tunawaamini zaidi watu kutoka nje watakaokuja kusimamia maslahi ya taifa letu? Na kama watatoka nje wakija hapa, watafanya kazi na nani?

Tunataka kusema kwamba bado tuko kwenye hali tunayopenda tuongozwe na taasisi za nje au vyombo vya nje kwa suala kubwa kama hili linalogusa maisha ya taifa letu? Uhai wa taifa letu?

Mimi ninaamini tuna weledi wa kutosha ndani ya nchi. Tuna watu ambao wana uzoefu mkubwa. Huo huo wa kimataifa unaotaka uletwe hapa, hawa, baadhi yao, wamechangia weledi ule kule nje. Kwa hiyo kwa hakika sioni sababu ya kutaka watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani.

Salim Kikeke: Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia kwa mfano nchi jirani ya Kenya, mwaka 2007 baada ya kutokea utata kwenye matokeo ya uchaguzi, walifika mahali wakahitaji msaada, na sisi Tanzania tulipeleka watu, watu kutoka Afrika Kusini pia walikwenda kujaribu kusuluhisha hilo. Na hilo ndilo ninapotokea na kusema kwa nini na sisi tusingeleta watu kutoka nje?

Asha-Rose Migiro: Ni kweli na sisi Tanzania viongozi wetu walishiriki Kenya wakati ule katika kuchangia utatuzi wa changamoto iliyowakabili baada ya uchaguzi wao.

Tanzania ni nchi ambayo ina uzoefu mkubwa sana katika usuluhishi wa migogoro. Unakumbuka chini ya Mwalimu Nyerere, migogoro ya Burundi. Tukaendelea alipoingia Rais Mkapa na yeye akashiriki katika usuluhishi, Mheshimiwa Rais Kikwete hali kadhalika.

Kwa hiyo Tanzania tunao uzoefu na tunafahamu kwamba tunaweza tukaenda nje, vivyo hivyo wapo wanaoweza kuja ndani lakini kwa mahitaji. Je, tunawahitaji? Kule nje hatukuenda tu, tukasema kwamba "unajua nini, sisi Tanzania ndio mabingwa tumekuja." Hapana, walituita. Na walituita pale ambapo walituhitaji. Haikuwa toka mwanzo kwamba walianza kusema kwamba "hapa sisi wananchi hapa hatuwezi kufanya chochote."

Na sisi Tanzania tunaweza kufanya chochote, na tumeonyesha tunaweza. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara, na sasa tuko kwenye mstari wa kuendeleza gurudumu la maendeleo. Changamoto hii itatizwa kwa uzito wake, lakini tuna weledi wa kutosha. Tuna uwezo wa kutosha wa kushughulikia suala hili."

Hivi kwa akili hii huo Ukatibu Mkuu wa UN aliupataje? Au ndiyo akili ya CCM inamtuma hivyo?
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo utata kwamba Rais anateua Tume na ni watu wanaoweza kumwegemea upande wake. Pengine tungeleta watu kutoka nje, Tume ingekuwa huru zaidi ya Uchunguzi

Asha-Rose Migiro: Ndugu Kikeke, ni miaka 65 toka nchi yetu ipate uhuru wake. Unaamini kwamba mpaka sasa hatujitoshelezi? Miaka 65 tutafute watu kutoka nje? Hivi, tunawaamini zaidi watu kutoka nje watakaokuja kusimamia maslahi ya taifa letu? Na kama watatoka nje wakija hapa, watafanya kazi na nani?

Tunataka kusema kwamba bado tuko kwenye hali tunayopenda tuongozwe na taasisi za nje au vyombo vya nje kwa suala kubwa kama hili linalogusa maisha ya taifa letu? Uhai wa taifa letu?

Mimi ninaamini tuna weledi wa kutosha ndani ya nchi. Tuna watu ambao wana uzoefu mkubwa. Huo huo wa kimataifa unaotaka uletwe hapa, hawa, baadhi yao, wamechangia weledi ule kule nje. Kwa hiyo kwa hakika sioni sababu ya kutaka watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani.

Salim Kikeke: Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia kwa mfano nchi jirani ya Kenya, mwaka 2007 baada ya kutokea utata kwenye matokeo ya uchaguzi, walifika mahali wakahitaji msaada, na sisi Tanzania tulipeleka watu, watu kutoka Afrika Kusini pia walikwenda kujaribu kusuluhisha hilo. Na hilo ndilo ninapotokea na kusema kwa nini na sisi tusingeleta watu kutoka nje?

Asha-Rose Migiro: Ni kweli na sisi Tanzania viongozi wetu walishiriki Kenya wakati ule katika kuchangia utatuzi wa changamoto iliyowakabili baada ya uchaguzi wao.

Tanzania ni nchi ambayo ina uzoefu mkubwa sana katika usuluhishi wa migogoro. Unakumbuka chini ya Mwalimu Nyerere, migogoro ya Burundi. Tukaendelea alipoingia Rais Mkapa na yeye akashiriki katika usuluhishi, Mheshimiwa Rais Kikwete hali kadhalika.

Kwa hiyo Tanzania tunao uzoefu na tunafahamu kwamba tunaweza tukaenda nje, vivyo hivyo wapo wanaoweza kuja ndani lakini kwa mahitaji. Je, tunawahitaji? Kule nje hatukuenda tu, tukasema kwamba "unajua nini, sisi Tanzania ndio mabingwa tumekuja." Hapana, walituita. Na walituita pale ambapo walituhitaji. Haikuwa toka mwanzo kwamba walianza kusema kwamba "hapa sisi wananchi hapa hatuwezi kufanya chochote."

Na sisi Tanzania tunaweza kufanya chochote, na tumeonyesha tunaweza. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara, na sasa tuko kwenye mstari wa kuendeleza gurudumu la maendeleo. Changamoto hii itatizwa kwa uzito wake, lakini tuna weledi wa kutosha. Tuna uwezo wa kutosha wa kushughulikia suala hili."
Ujinga na upumbavu haundoki kwq kwenda shule peke yake. Mtu kama Rose Mgiro anakuwa mpumbavu wa kiwango hiki pamoja na elimu na exposure yote aliyo kuwa nayo. Kweli watanganyika tunahitaji revolutionary 7/7/2027
 
😄😄
Hili Taifa Kila mtu amekuwa chawa Kila mtu anaogopa yaliyo mkuta pole pole

Twende mbele na kurudi nyuma samuya she's scaring 🤣

Kila mtu anaogopa kusema ukweli mbaya sana hii tumefika pabaya
Sijui tulifikaje hapa!
Inasikitisha sana.
 
Ukiweka siasa pembeni

Samia ni kweli anajiyahidi kutibu kilichotokea mwaka jana.

Kaunda tume mbili zote ili kujua ukweli wa yaliyotokea.

Kaunda wizara maalum ya vijana.

Ni kazi kwa waziri sasa kuhakikisha anawafikia vijana wengi na kuwasaidia kujiajiri ili kupunguza tatizo la ukosefu ajira.
Amri ya vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania kuua watanganyika ilitoka kwa nani kama siyo kwa amiri jeshi mkuu? Na mpaka huyo amiri jeshi mkuu anatoa hiyo amri hakuwa na hizo taarifa za kutosha hadi sasa aunde tume? Tangu lini muuaji akaunda tume ya kuchunguza chanzo cha mauaji aliyoyafanya mwenyewe kama siyo uchizi? Kwa nini walioua hawachunguzwi na kuchukuliwa hatua wakati wanajulikana? Hii ni ajabu na kweli. Wasituchose na ujinga wao. JAMANI HII NCHI NI YETU SOTE MSIJE MKAONA WATANZANIA ZAIDI YA MILIONI 60 NI WAJINGA SANA WANAWATEGEMEA NYIE KUFIRI NA KUJUA UKWELI WA MAMBO. ITOSHE TU KUSEMA TANZANIA HAIJAKAWAHI KUPATA KIAZI MBATATA KAMA ILIVYO SASA.
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo utata kwamba Rais anateua Tume na ni watu wanaoweza kumwegemea upande wake. Pengine tungeleta watu kutoka nje, Tume ingekuwa huru zaidi ya Uchunguzi

Asha-Rose Migiro: Ndugu Kikeke, ni miaka 65 toka nchi yetu ipate uhuru wake. Unaamini kwamba mpaka sasa hatujitoshelezi? Miaka 65 tutafute watu kutoka nje? Hivi, tunawaamini zaidi watu kutoka nje watakaokuja kusimamia maslahi ya taifa letu? Na kama watatoka nje wakija hapa, watafanya kazi na nani?

Tunataka kusema kwamba bado tuko kwenye hali tunayopenda tuongozwe na taasisi za nje au vyombo vya nje kwa suala kubwa kama hili linalogusa maisha ya taifa letu? Uhai wa taifa letu?

Mimi ninaamini tuna weledi wa kutosha ndani ya nchi. Tuna watu ambao wana uzoefu mkubwa. Huo huo wa kimataifa unaotaka uletwe hapa, hawa, baadhi yao, wamechangia weledi ule kule nje. Kwa hiyo kwa hakika sioni sababu ya kutaka watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani.

Salim Kikeke: Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia kwa mfano nchi jirani ya Kenya, mwaka 2007 baada ya kutokea utata kwenye matokeo ya uchaguzi, walifika mahali wakahitaji msaada, na sisi Tanzania tulipeleka watu, watu kutoka Afrika Kusini pia walikwenda kujaribu kusuluhisha hilo. Na hilo ndilo ninapotokea na kusema kwa nini na sisi tusingeleta watu kutoka nje?

Asha-Rose Migiro: Ni kweli na sisi Tanzania viongozi wetu walishiriki Kenya wakati ule katika kuchangia utatuzi wa changamoto iliyowakabili baada ya uchaguzi wao.

Tanzania ni nchi ambayo ina uzoefu mkubwa sana katika usuluhishi wa migogoro. Unakumbuka chini ya Mwalimu Nyerere, migogoro ya Burundi. Tukaendelea alipoingia Rais Mkapa na yeye akashiriki katika usuluhishi, Mheshimiwa Rais Kikwete hali kadhalika.

Kwa hiyo Tanzania tunao uzoefu na tunafahamu kwamba tunaweza tukaenda nje, vivyo hivyo wapo wanaoweza kuja ndani lakini kwa mahitaji. Je, tunawahitaji? Kule nje hatukuenda tu, tukasema kwamba "unajua nini, sisi Tanzania ndio mabingwa tumekuja." Hapana, walituita. Na walituita pale ambapo walituhitaji. Haikuwa toka mwanzo kwamba walianza kusema kwamba "hapa sisi wananchi hapa hatuwezi kufanya chochote."

Na sisi Tanzania tunaweza kufanya chochote, na tumeonyesha tunaweza. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara, na sasa tuko kwenye mstari wa kuendeleza gurudumu la maendeleo. Changamoto hii itatizwa kwa uzito wake, lakini tuna weledi wa kutosha. Tuna uwezo wa kutosha wa kushughulikia suala hili."
Hii ni maajabu, the Rose Migiro that i happened to respect has lost all that due respect. Deciding to be an idiot just to back up the "Post October 29th Massacre" of Innocent Tanzanian's lives is an evil act indeed!
 
😄😄
Hili Taifa Kila mtu amekuwa chawa Kila mtu anaogopa yaliyo mkuta pole pole

Twende mbele na kurudi nyuma samuya she's scaring 🤣

Kila mtu anaogopa kusema ukweli mbaya sana hii tumefika pabaya
She isn't scaring but the people she uses to go against innocent citizens, are the one's who scare the most. Imagine someone who is summoned to hunt you down like a wild animal with firearms. Thats pathetic for sure! You will never see her face but you will obviously feel her power through someone intended to eliminate your soul.
 
She isn't scaring but the people she uses to go against innocent citizens, are the one's who scare the most. Imagine someone who is summoned to hunt you down like a wild animal with firearms. Thats pathetic for sure! You will never see her face but you will obviously feel her power through someone intended to eliminate your soul.
Sad 😭
 
Hivi kwa akili hii huo Ukatibu Mkuu wa UN aliupataje? Au ndiyo akili ya CCM inamtuma hivyo?
Yaani mpaka unajiuliza ufaulu wake upikuwaje kama mtu binafsi, na Kwa ujumla wake aina ya wahitimu wa vyuo vyetu.

Mbona wali graduate miaka 1966 walikuwa tofauti na hawa wa 1974 na kuendelea
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo utata kwamba Rais anateua Tume na ni watu wanaoweza kumwegemea upande wake. Pengine tungeleta watu kutoka nje, Tume ingekuwa huru zaidi ya Uchunguzi

Asha-Rose Migiro: Ndugu Kikeke, ni miaka 65 toka nchi yetu ipate uhuru wake. Unaamini kwamba mpaka sasa hatujitoshelezi? Miaka 65 tutafute watu kutoka nje? Hivi, tunawaamini zaidi watu kutoka nje watakaokuja kusimamia maslahi ya taifa letu? Na kama watatoka nje wakija hapa, watafanya kazi na nani?

Tunataka kusema kwamba bado tuko kwenye hali tunayopenda tuongozwe na taasisi za nje au vyombo vya nje kwa suala kubwa kama hili linalogusa maisha ya taifa letu? Uhai wa taifa letu?

Mimi ninaamini tuna weledi wa kutosha ndani ya nchi. Tuna watu ambao wana uzoefu mkubwa. Huo huo wa kimataifa unaotaka uletwe hapa, hawa, baadhi yao, wamechangia weledi ule kule nje. Kwa hiyo kwa hakika sioni sababu ya kutaka watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani.

Salim Kikeke: Nasema hivyo kwa sababu ukiangalia kwa mfano nchi jirani ya Kenya, mwaka 2007 baada ya kutokea utata kwenye matokeo ya uchaguzi, walifika mahali wakahitaji msaada, na sisi Tanzania tulipeleka watu, watu kutoka Afrika Kusini pia walikwenda kujaribu kusuluhisha hilo. Na hilo ndilo ninapotokea na kusema kwa nini na sisi tusingeleta watu kutoka nje?

Asha-Rose Migiro: Ni kweli na sisi Tanzania viongozi wetu walishiriki Kenya wakati ule katika kuchangia utatuzi wa changamoto iliyowakabili baada ya uchaguzi wao.

Tanzania ni nchi ambayo ina uzoefu mkubwa sana katika usuluhishi wa migogoro. Unakumbuka chini ya Mwalimu Nyerere, migogoro ya Burundi. Tukaendelea alipoingia Rais Mkapa na yeye akashiriki katika usuluhishi, Mheshimiwa Rais Kikwete hali kadhalika.

Kwa hiyo Tanzania tunao uzoefu na tunafahamu kwamba tunaweza tukaenda nje, vivyo hivyo wapo wanaoweza kuja ndani lakini kwa mahitaji. Je, tunawahitaji? Kule nje hatukuenda tu, tukasema kwamba "unajua nini, sisi Tanzania ndio mabingwa tumekuja." Hapana, walituita. Na walituita pale ambapo walituhitaji. Haikuwa toka mwanzo kwamba walianza kusema kwamba "hapa sisi wananchi hapa hatuwezi kufanya chochote."

Na sisi Tanzania tunaweza kufanya chochote, na tumeonyesha tunaweza. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara, na sasa tuko kwenye mstari wa kuendeleza gurudumu la maendeleo. Changamoto hii itatizwa kwa uzito wake, lakini tuna weledi wa kutosha. Tuna uwezo wa kutosha wa kushughulikia suala hili."
Huyu bado ana hasira ya kupoteza ulaji pale UN.
 
Back
Top Bottom