Hii Tanzania sijui itakuja kushinda kwenye fani gani tena maana vijana woooote inaonekana ni unga tu asilimia kubwa...hilo litoto linatuletea utamadumi wa kuuwa ambao hatujauzoea.safi sana biggie japo umechelewa kutoa uamuzi.
uko sahihi mkuu,yaani mi nashangaa JK anasubiri nini maana wakati jeshi liko likizo kwa miaka mingi sana mpaka wanapewa kazi ya kulinda mikutano ya vyama vya siasa.
Amesahau ile kauli a mchonga meno kwa nduli?
that's true,mi ishanitokea kweli kabisa na nsoma hii thread kama ni mimi vile..ila mungu sometimes huwa anatukutanisha na wapenzi wasio sahihi kwa mara ya kwanza kama mtihani ili tuwe makini kwa wapenzi wa kweli tutakaowapata na ambao tutaishi nao kama mke na mume.ila ndo za wasichana wengi wa...
njiwa umeona watu wa Arusha tu wakuja,kwa taarifa yako ujinga wa kuibadirisha jina barabara yenye historia kubwa kama Ocean Road usingetokea kama ingekuwa iko Arusha...hebu wathubutu kuibadirisha jina 'Makongoro Road' wasikie muziki utakavyokuwa!
Fuatilieni hospital mtupe data za uhakika majeruhi wangapi na waliopoteza maisha nia wangapi ikiwezekana tupia na majina kabisa,wengine tumeacha familia zetu huko ..
Sipati picha ghadhabu za traffic mkoani Arusha baada ya mazishi....ila watenge sehemu maalum za check point.mungua amlaze mahala pepa peponi huyo traffic na majeruhi wapone haraka.ameen
kwa hiyo huyu kijana shujaa anaweza kuithibitishia polis kwamba waliyemkamata siku hiyo ni Ambrose? Na kama polis wana taarifa hizo wanaendelea kuhangaika na nini na mbona hawajatoa tamko kama hilo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.