Viongozi wetu wa Dini mpo wapi? Tambueni Mungu wenu anawaona, m'mekuwa mnaomba sana Amani, lakini hamtaki kusimamia haki. Naanza kuyakubali maneno ya Dada yangu Bi. Asha (Mungu amrehemu), alituambia hawaitoi, hawaitoi, hawaitoi kwa karatasi. Wengi tulimpuuza lakini mbele ya Mungu alitimiza...