Umeya wa Dar Utamponza Magufuli

Umeya wa Dar Utamponza Magufuli

Mkuu hata mm sijaelewa Suala la Meya linaloendelea nchini coz najua Meya aliye na utata ni wa Dar na sio meya wa Tanzania kama Nchi...na hiyo nafasi ki msingi kama nchi haipo.....

Kama ni issue ya mayor ni wa Dar na Siyo kama nchi.....Usitudanganye
nadhani hata mwalimu wako alishindwa kukutoa ujinga akilini mwako kwa sababu ya uelewa wako wa kuchanganua mambo kua mdogo


kilombero ukusikia yaliyotokea au siyo nchini tanzania?
 
Mimi kuna mambo mawili yananishangaza kwanza, ukiangalia kwa makini majipu yote yaliyotumbuliwa ni yale ambayo hayana mawasiliano na chama, ni watu wa kawaida (hawana athari kwenye chama). Suala la pili ni ile kauli ya JPM aliyosema kule Singida kwenye sherehe za CCM kwamba wapinzani waondoe kabisa ndoto ya kutawala nchi hii.Hii maana yake atatumia uwezo na nguvu zake kuhakikisha kwamba anailinda CCM. Hili ni tatizo, ndio maana watu walisema Magufuli ni mzuri lakini kwake itakuwa ni vigumu kubadilisha system ya CCM.LABDA ANAOGOPA NA WAO WATAMWAGA MBOGA KWA KUSEMA KILICHOFANYIKA KWENYE UCHAGUZI. Ingawaje kwangu hiyo siyo sababu cha msingi ni kuongoza kwa mujibu wa haki na sheria.
Hivi ingekua ni mpinzani kasema hivyo sasa hivi angekua wapi?
 
Sahau kabisa,MH,RAIS MAGUFULI HAWEZI HATA SIKU MOJA KUPONZWA NA MANENO YENU HAYO YA KIPUMBAVU,huu ni muda wa kujenga nchi sio maneno.hata mkimwombea mabaya,ila watanzania wengi tunampenda na tunamuombea zaidi ya 99.9,nyie kijiasilimia 0.0001 hata hamtusumbui
Kwasababu mnatekeleza azma yenu ya ukurunzinza
 
Viongozi wetu wa Dini mpo wapi? Tambueni Mungu wenu anawaona, m'mekuwa mnaomba sana Amani, lakini hamtaki kusimamia haki. Naanza kuyakubali maneno ya Dada yangu Bi. Asha (Mungu amrehemu), alituambia hawaitoi, hawaitoi, hawaitoi kwa karatasi. Wengi tulimpuuza lakini mbele ya Mungu alitimiza wajibu wake, kwani msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Pamoja na huu uhuni, ila hii ni mbinu pia ya kuwasahaulisha watu mambo ya zanzibar
 
Mkuu hata mm sijaelewa Suala la Meya linaloendelea nchini coz najua Meya aliye na utata ni wa Dar na sio meya wa Tanzania kama Nchi...na hiyo nafasi ki msingi kama nchi haipo.....

Kama ni issue ya mayor ni wa Dar na Siyo kama nchi.....Usitudanganye
Meya niwa Dar soma vizuri utanielewa
 
Viongozi wetu wa Dini mpo wapi? Tambueni Mungu wenu anawaona, m'mekuwa mnaomba sana Amani, lakini hamtaki kusimamia haki. Naanza kuyakubali maneno ya Dada yangu Bi. Asha (Mungu amrehemu), alituambia hawaitoi, hawaitoi, hawaitoi kwa karatasi. Wengi tulimpuuza lakini mbele ya Mungu alitimiza wajibu wake, kwani msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.
MUNGU TUNUSURU NA HII CCM
 
Hivi tunataka hii ccm iseme mara ngapi tuelewe? Haitoi nchi au kipande cha nchi kwa makaratasi....sasa tunataka nini tena?

Magufuri ni ccm na amesema hawezi hakuna nchi inayoweza kutawaliwa na vyama ovyo ovyo.....

Jiji la Dar likitawaliwa na meya wa ccm tukubaliane tu kuwa ukawa ni muhungano wa vyama ovyo ovyo...otherwise shari itokee ndo ajue si vyama ovyo na tunaijua haki yetu....
 
Hivi tunataka hii ccm iseme mara ngapi tuelewe? Haitoi nchi au kipande cha nchi kwa makaratasi....sasa tunataka nini tena?

Magufuri ni ccm na amesema hawezi hakuna nchi inayoweza kutawaliwa na vyama ovyo ovyo.....

Jiji la Dar likitawaliwa na meya wa ccm tukubaliane tu kuwa ukawa ni muhungano wa vyama ovyo ovyo...otherwise shari itokee ndo ajue si vyama ovyo na tunaijua haki yetu....
Basi waeke wazi kua hakutakuaga na uchaguzi tena Tanzania navyama vingine vya siasa visiwepo siyo kufurahisha jumuiya yakimataifa kua Tanzania kuna demokrasia kumbe wapi
 
Hakuna cha kumponza wala nini yeye anachapa kazi zake kwa misingi ya sheria na haki.
Yaani nyie hata kuku anatosha kuwaongoza.
Kila kitu mnashabikia tu so long ni CCM.
Hata ukiambiwa inama upakuliwe chakula unainama so long ni mwana CCM anatakiwa ashinde.

Acha UJINGA
 
Yaani nyie hata kuku anatosha kuwaongoza.
Kila kitu mnashabikia tu so long ni CCM.
Hata ukiambiwa inama upakuliwe chakula unainama so long ni mwana CCM anatakiwa ashinde.

Acha UJINGA
Wamekua mandondocha ya ccm
 
nani amwombee?dikteta nani amwombee ?
Sahau kabisa,MH,RAIS MAGUFULI HAWEZI HATA SIKU MOJA KUPONZWA NA MANENO YENU HAYO YA KIPUMBAVU,huu ni muda wa kujenga nchi sio maneno.hata mkimwombea mabaya,ila watanzania wengi tunampenda na tunamuombea zaidi ya 99.9,nyie kijiasilimia 0.0001 hata hamtusumbui
 
Tena ni jipu mkausho, Kwa hili sakata la umeya linaloendelea nchini, na ukimya wake inaonyesha kabisa rumumba ndo wanaiendesha nchi yupo pale magogoni kama ushahidi tu


Haya ndo mabadiliko ya kweli haliyokua akiyaubili sasa kajikausha kama vile hayupo nchinim..au hili nalo lipo juu ya uwezo wake kama lile la zanzibar?
Jk na Mkapa ndiyo wanamwongoza hata kwenye Umeya wamekomalia kuvuruga ili Siri za Ufujaji wa pesa zisijulikane
 
CCM it is very simple, haya yanayoendelea tangaza kuwa meya ni fulani kwani kitatokea nini, UKAWA watafanya nini. Kwa nn mnawasumbua akina Mdee bila sababu. Fanya kama alivyofanya Idd Amin you just call your opponent and shoot him, basi hakuna wa kukuuliza
 
Mh! Nakumbuka kuna kauli magu aliwai kusema kwamba dar es salaam ndio tanzania. Sasa nimeshamuherewa!CCM naikubali kwa sababu ya MAGU Lakini hili nawakataa
 
Back
Top Bottom