Nadhani kama kuna mahali kwenye vitabu vya kufundisha ni jambo jema marekebisho yafanyike. Ila pamoja na kuchangia humu, wanaopata wasaa wafikishe kwa wahusika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Qur-an is clear, the problem start when you take some parts of the verses and leave the other parts. Go back to the history and check it. Muslims are asked to fight after being touched. Read the who start to fight others you will get the answers. Let's discuss the problem and propose the good...
Ndio maana kuna elimu ya watu wazima, yaani ukishazaa wewe ni mtu mzima kwa hiyo nadhani wajiunge na elimu ya watu wazima. Hayo ni maoni yangu tu wadau.
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Huu ndio uhalisia ila sijajua ni kwanini. Mwanamke akinikubali haraka huwa na kuwa na wasiwasi mkubwa ila akinizungusha ikifika hatua nikasema basi huwa sigeuki nyuma. Mungu nisaidie.
Usimkatishe katatishe tamaa mkuu, hata mbuyu ulianza kama mchicha. Chamsingi mpe maswali madogo madogo tu yakumfanya ajiulize na kujijibu mwenyewe. Muulize kwanza MMU anaijua.
Haya mambo yamekaa kisheria zaidi. Hivyo TL ametafsiri sheria kulingana na mikataba waliyosiani wakuu wetu. Rejea mikataba yao ndio utaelewa. Wakuu wanasaini mikataba halafu wanasema ni siri kisha wakija kwetu wanatuambia tunaibiwa hapo ndio uweze na kuwazua then unajijibu mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.