Jamani mimi mapenzi tena basi!

Jamani mimi mapenzi tena basi!

Meb unapenda level zisizo zako mkuu na wengi yawezekana wanakaa na ww kwa pesa tu lakin wanakuwa hawafufeel kivile. Ushauri wangu angalia wasichana level unazozichagua hapo ndio uanze kurekebisha
 
Huu Uzi ni porojo,nimeuchunguza sana kwa makini mwanzo mwisho,HAPANA
 
Tena anakusaliti na jirani yako dah! Kwanza mwanamke usikurupuke kumzoesha pesa, si ana hela yake kama hana mchunguze kama ni wife material ask her about her plans ana malengo gani then hapo u can help sikiliza sana aina ya story anazokupa.Sometimes nyie wanaume mnawapa sababu wanawake kuwasiliti.ulishawahi kumuuliza, " bby kitu gan hupendi kwangu au tabia ili nijirekebishe however small it is " be open and she will be open..usimpe sababu ya yeye kukusaliti..eti kisa una pesa, sjui six packs sijui big dick my dear anaweza kukusaliti for a dude anayejua kutumia ulimi wake ipasavyo hicho tu..Kingne dont brag about your wealth to women mchunguze anafaa je kuhuc mali zake au mambo yake kuna vitu sensitive anakuambia? Kwanza fanyia kaz hayo mambo na pia tatzo mnapenda waremboooo sana most of them ni runs girls, tafta mwanamke mwenye tabia njema mchunguze mjue tabia zake vizur and then change her into the queen u want her to be...no body is ugly my brother...by the way sisi wanawake tunajua saanaaa kupretend so pia omba sana Mungu akupe hekima
umenishauri sana na nashukuru sana, ubarikiwe
 
unajua tatizo letu wanaume wengi linapokuja suala la kuwa na mpenzi /mwanamke huwa tunakimbilia kuangalia sura au umbile zuri ili tuheshimike mtaani.kimantiki hawa viumbe wa aina hii ni wasumbufu sana wakiringia uzuri wao.issue sio uwezo au kumtimizia wahitaji yote.hawa binadamu ni wadhaifu Mara nyingi kuhimili mikimikiki ya kutongozwa wameumbiwa huruma kama vile sisi wanaume tulivyo dhaifu kwao kimapenzi.hivyo basi tulia tafuta mwanamke kwa vigezo vya maadili,dini,na kujitambua.sio sura au figure, huyo piga chini mimba sio sababu kwani mwenyewe huna uhakika kama ni ya kwako.
Hapo kaka umenigusa, kwenye sura na umbo mm ndio ugonjwa wangu
 
Unakua na moyo gani wa kujiuliza uliza mara mbili kwa mtu umemfumania kwa macho yako khaaa tupa kuleee
 
Jamani nawashukuru wote mliotumia mda wenu kunishauri, ki ukweli ushauri wenu umenisaidia sana kupata nguvu mpaka sasa nadhani naweza kufanya maamuzi, mbarikiwe sana sana.
 
Aombe Mungu amsaidie kwa uzinzi wake!? No.Atubu kwanza kisha aendelee kumwomba Mungu ampe mke.Asijifanye kiwembe!
 
Tatzo co wewe nyota ya kusalitiwa inakusumbua hata demu ye mwenyewe alikua hataki sema nyota yako imemlazmisha
 
Acha haraka/papara jiulize dhambi gani umefanya utubu MUNGU atasaidia wewe!
 
U will never get the right gal if u will not let go of the wrong one

Never give up ,wako wa maisha yupo na amini utampata kwa wakati uliopangwa.
 
images.jpg
 
inaonyesha unamajivuno sana kama kabila flani hivi... wahe........e, sisi wanawake huwa hatupendi wanaume wenye majivuno kupita kiac maana hiyo kasoro inamfanya mwanamke akuone huna maana ya starehe tu
 
Back
Top Bottom