Recent content by DIZEPA

  1. D

    Ndoto tunazoota na tafsiri zake

    Ccf FCC ,,,,,,,, kwa mud alight only hokum my it Bing it mmHg 7 l ," , . Moujik
  2. D

    Exclusive. Hatimaye Yusuph Manji amerejea rasmi Yanga na amemsajili Ibrahim Ajib

    Hivi mchezaji hajafunga hata magoli kumi katika mechi zote kwa msimu kwa vipindi viwili unasema hiyo dhahabu?, kichuya na mzamiru yassin wawe na miguuu ya nn?. Kwan Mimi ni bishoo tu asiyejitambua wenzake wanachakalia bongo na vipaji vyao, kina niyonzima, msuva,nk yeye ana nn cha ziada
  3. D

    Serikali ya Tanzania kuingiza nchini ndege 2 za kisasa kutoka Canada ndani ya siku 60

    Laiti ningalikuwa nafanya uteuzi wa mkurugenzi wa kulifufua hili shirika basi ningempa Dr Dau, huo ni mtazamo wangu tu wadau
  4. D

    NSSF yazidi kuumbuka: Ufisadi wa ujenzi wa Hoteli Mwanza, jengo la biashara Mzizima

    Kwa jinsi ninavyojua usiri wa rais wetu hii ripoti ya mwananchi inatia shaka na imekaa kwa misingi ya wewe umemwaga mboga mi namwaga ugali, tusubir ripoti halisi maana kama kuna mtu kalipwa ili amchafue mtu vile!!!
  5. D

    Farewell to Arms: Barua ya Dr. Ramadhani Kitwana Dau kwa wafanyakazi wa NSSF

    Akinukuu makamba vifungu vya biblia anasifiwa kwasababu hagusi imani yako?. ..hii meli tuliyopanda itatupeleka pabaya na ndio maana inapokuja mada inayomuhusu Dr Dau hata watu tunaowaheshimu humu jf hujitoa ufahamu na kuchangia kama vile sio wao
  6. D

    Dr. Dau bado anatumia magari ya NSSF

    Kwa hiyo unataka awape access ya milango ili mumuhujumu ili aonekane mwizi sio, hapo ndio utabaini kwanini anaitwa Dr,
  7. D

    Dr. Carine Wangwe ateuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu NSSF

    Wanaomponda dau leo watakuja mkumbuka kesho kwani tabia ya binadamu ni kama kuku kwan ukimtupia mchele lazima apekue akihisi chini upo mwingi zaidi ya ule uliomtupia kumbe anafukia haya ule mchache uliomtupia. Ukiona watu leo hii hadi wanavutiwa kufanya kazi nssf basi ujue kuna kazi imefanyika ...
  8. D

    Hongera Dk. Mwakyembe kwa kubaini rushwa Mahakamani

    Vp pia amegundua na mazingira duni na maslahi duni kwa watumishi, kutokupanda vyeo kwa watumishi wa mahakama?
  9. D

    Kisiju moja iyo

    Kaka kisiju ipi , pwani, dondo, kalole, kichangaunju au?
  10. D

    UTAMADUNI WA KUHOJI UNAVYOYEYUSHWA NA DHANA YA "KUNUNULIWA" (Opinion)

    Jibu ni kwamba soma katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ina jibu rahic sana kwamba kutuhumiwa tu hakumfanyi mtu kupoteza haki zake kama hajapelekwa mbele ya vyombo vya sheria. Dr slaa alitaja hiyo list je ndio final kuwa aliowataja wanahusika?.
  11. D

    Mtikila kumshitaki Lowassa kwa kukwepa kodi

    Kama lowasa amekwepa kodi je huyo mgombea Mwenza anahusikaje au naye alikuwa ccm
  12. D

    Lowassa kusimamisha Jiji kwenye uwanja wa Taifa tarehe 8 Agosti, 2015

    HV sio simba day siku hiyo jamani au ratiba imebadilika?
  13. D

    Jukwaa la Katiba: Wagombea Urais wapimwe afya zao kuepusha hasara kwa nchi

    Huyo aliyetoa wito huo ni mjinga coz tatizo sio kupima tu angesema wakipima vipimo wampelekee yeye ili amwonyeshe mkewe hapo sawa bali kwa wagombea km magufuli au lowasa mara ngapi tumesikia wameenda ujerumani kuchek afya zao?
  14. D

    Maneno ya Robert Mugabe kuhusu kinachoendelea South Africa

    Huyu ndio kiongozi pekee mwenye uthubutu. Kwan kinachotokea south Africa hakipaswi kunyamaziwa na kiongozi yeyote hata afisa mtendaji kata kwani sio tu uvunjaji wa haki za binadamu lakini ni kuudhalilisha utu wa mwafrika. Hebu jiulize wanaofanya kazi south afrika ni weusi tu?, nakubali maneno ya...
Back
Top Bottom