Baadhi ya mistari
"Cheza cheza kwenye dancing flow,
Wala usijali kuitwa bishoo,
Kata kata ngoma za kisasa,
Kibao ni chako sio cha kuazima
Maneno mengine nimeyasahau ilikua zamani sana
Pia kuna ile kama unatoka usiku,unainua tairi ya nyuma kwa stand kisha unaweka dynamo kwenye tairi na kuzungusha pedal kuangalia mwanga unaotoka kwenye taa na kurekebisha switch ya taa, baada ya hapo full kuzurula usiku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.