Kuwa na mtu usiyempenda ni stress....kuwa na watu wawili af huwapendi ni stress plus plus....no wonder unajiona unazeeka at the age of 23...ni stress zinakuzeesha... ushauri wangu achana nao wote and u will find urself growing younger
Duniani kuna watu wana roho mbaya na ni mashetani....wanaishi kama vile hakuna Mungu ama kama vile wataishi milele...wakati nasoma natamani hata isiwe hadithi ya ukweli...natamani iwe ya kutungwa maana haya maumivu hayabebeki...
Asante sana Lara 1 kwa story yenye mafunzo mengiii....though haikuisha kama nilivotarajia kwa upande wa Santos, thought atarudi na mijipesa ya kufa mtu maskini kumbe aliangukia pua
ila natamani sana Santos angemweleza mkewe pesa ziliendajeendaje...all in all ubarikiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.