Recent content by Disminder girl

  1. D

    Masharti ya kipimo cha mionzi ni yapi?

    Habari zenu wanajamvi Kuna rafiki yangu ana tatizo la kansa anatakiwa achome mionzi, na mpaka dakika hii yupo Ocean Road. Kwa sasa ana na bado hajaanza tiba. Kwani mtu anayechoma mionzi inabidi awe katika hali gani? Mwenye uelewa anisaidie.
  2. D

    Sina hamu ya kupenda...

    pole sn mwaya mi naimani utamsahau tu na moyo wakupenda tena utarudi.
  3. D

    Nina ujauzito - nimekata tamaa

    pole sn jaman ila maamuzi uliyo chukua ni magumu sn
  4. D

    Shoga hadharani

    aisee ni balaa
  5. D

    Huwezi kuwashinda wanawake kwa uongo

    mtoa mada hujui km ukwel hauwez kukamilika bila kuwepo na uongo?
  6. D

    Dumisha furaha daima

    hahahahahahahahahaha!
  7. D

    nifanye lip kati ya haya matatu? nna milion moja na laki tano

    km eneo linalipa nunua pc maana ukianza kununua tu line za mpesa tigo pesa utakuwa umepunguza parefu sn
  8. D

    Mfanyakazi anahitajika

    du naona jamaa kakomaa kichizi kaka nenda tu kwakweli kijijini na co hp m,jini
  9. D

    Ushaur jamani

    sasa tutakushaurije wkt we mwenyewe husemi kafanyaje?
  10. D

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    asante kwa taarifa mkuu
Back
Top Bottom