kaka umevurugwa nn mfanyakazi wa kulisha ng'ombe halafu aje kuwa mke wako acha uhuni bana inaonekana ww ni mzee wa kabang wanaume mara nyingi ndio wachunga ng'ombe au we mmasai
Ugoro mbaya sana
saaaaaaaaaaaaaafi sana hawa dada zetu wanataka kilicho tayari aje ajitanue kama chatu aliyemeza mbuzi...nyambafu!Jamani mnielewe c anakuwa mkewangu inamana hata ngombe c zakwake.hyo nikipmo ya bidii yake nakm anafaa.ni inteview yangu
Ugoro mbaya sana