Sina hamu ya kupenda...

Sina hamu ya kupenda...

Dada hebu njoo kwa Yesu Kristo mnazarethi atakufanya kiumbe kipya hata tamaa ya uasherati itakwisha na kutendwa ndo itakuwa mwisho wake,maana atakupa mme wa kufanana nawe ajuaye kupenda.."......hata imekuwa mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya"
 
Huwa hatusemi hvyo hata kama umeumizwa unalia kimoyomoyo wangu kupenda hakunaga hamu ujue mambo yanajijia yenyewe tu kama umelogwa vile
 
Du! bahati hizi wengine wanazitafuta wengine wanachezea
 
pole mapenzi ndivyo yalivyo unampenda mtu, unamjali,unajitoa kwa moyo wako wote na kufumba macho kwa wengine lakin mwisho wa siku unaonekana -----.tulia mama Mungu yupo atakuletea mwingine atakae kujali.
 
Nilikupenda sana emmanuel lakini katu hukuthamini penzi langu,ulipoumwa nilikubembeleza kwa maneno matamu uone jinsi gani nakujali na kukutakia uzima,ulipokasirishwa kazini bado nlikutia moyo,maumivu yako pia niliyabeba ili kukupnguzia uzito lakini wewe hukuthamini penzi langu katu..mapenzi yako kwangu yalishuka kila siku hupigi simu hadi nipige,tunaishi dsm hii wote lakini inapita hata miez 3-4 hatuonani hadi nibembeleze sana,kila nilichokuomba ulidai huna ilihali ulkuwa navyo.miaka yako 32 ilinifanya mwanzoni nkuone nmepata kuwa utawaza familia kumbe umri co tabia...machozi yangu hukuyajali wala kunithamini,nilikupenda sana emmanuel mwezi uliopita nilikutamkia tuachane nikajua ni gia ya kukubadilisha ndo kwanza ukasema nenda ili uendelee na wanawake wengine..(wanaume wapendeni wanawake wanaoonyesha kuwapenda kwa moyo kwani mtakuja kujuta baadaye)hyu niliyempenda hakunithamini ipo siku atanikumbuka..

Duh.... Ndio maana kuna usemi kwamba "Wanaume shati jeupe na suruali nyeusi"

Pole dada huyo hakuwa wako, wako yupo usilazimishe!!
 
broooo.jpg My dear haya ni maisha tu na huyo mwanaume wala hukuzaliwa nae, na amini kwamba huyo hakuwa wako, wako yupo njiani anakuja wakati tu haujafika wa kukutana nae siku ukikutana nae utajuta kwanini ulipoteza mda na machozi kwa mtu asiyejua thamani ya penzi lako, lakini haujapoteza mda hiyo ilikuwa ni hatua ya kupata uzoefu ili siku moja usilie kwa ajili ya mapenzi ila mapenzi ndo yatalia kwa ajili yako. Huu ndo mda wa kujipenda mwenyewe, kujithamini, kujiamini na kujitambua ili atakae kupenda atambua unajipenda mwenyewe, unajitambua, unajithamini na unajiamini.
 
mmmh kuna usemi unasema kupenda usipopendwa ni sawa na kusubiri boti uwanja wa ndege. Siku hizi haya mambo yapo watu hawana upendo wa moyoni unakuta tuu kuna kitu ametamani labda hela au papuchi. Hapo mtapendana mbaya zaidi mmoja yuko deep in love na mwingine ana mwadaa mwenzie. Baadae ni maumivu makali kwa yule aliyependa kwa dhati. Hizi situation zinakatisha tamaa sana ila ndo hivyo huwezi sema sipendi tena wakati unahitaji kupendwa.
 
View attachment 151972My dear haya ni maisha tu na huyo mwanaume wala hukuzaliwa nae, na amini kwamba huyo hakuwa wako, wako yupo njiani anakuja wakati tu haujafika wa kukutana nae siku ukikutana nae utajuta kwanini ulipoteza mda na machozi kwa mtu asiyejua thamani ya penzi lako, lakini haujapoteza mda hiyo ilikuwa ni hatua ya kupata uzoefu ili siku moja usilie kwa ajili ya mapenzi ila mapenzi ndo yatalia kwa ajili yako. Huu ndo mda wa kujipenda mwenyewe, kujithamini, kujiamini na kujitambua ili atakae kupenda atambua unajipenda mwenyewe, unajitambua, unajithamini na unajiamini.

asante sanaaaa mamii,huwezi amini ushauri wako umenitoa machozi,ipo siku na mimi naamini ntafutwa machozi...thanx dia.
 
mmmh kuna usemi unasema kupenda usipopendwa ni sawa na kusubiri boti uwanja wa ndege. Siku hizi haya mambo yapo watu hawana upendo wa moyoni unakuta tuu kuna kitu ametamani labda hela au papuchi. Hapo mtapendana mbaya zaidi mmoja yuko deep in love na mwingine ana mwadaa mwenzie. Baadae ni maumivu makali kwa yule aliyependa kwa dhati. Hizi situation zinakatisha tamaa sana ila ndo hivyo huwezi sema sipendi tena wakati unahitaji kupendwa.

asante sana nashukuru.
 
pole mapenzi ndivyo yalivyo unampenda mtu, unamjali,unajitoa kwa moyo wako wote na kufumba macho kwa wengine lakin mwisho wa siku unaonekana -----.tulia mama Mungu yupo atakuletea mwingine atakae kujali.

asante nashukuru,yani niliwakataa weng kwa ajili yake na mapenzi aliyonionyesha mwanzani nkajua hapa ndo nilipokuwa napatafuta laiti kesho yangu ningeliijua nisingekuwa najutia mwaka na nusu nilioupoteza kwake.
 
pole mama wanaume ndo walivyo hata uwalambe bado wanamipango yao moyoni

asante sana...na mimi ndo nmejionea nilikuwa nasikia kwa wengine ila usiombe yakukute halafu ndo uwe umependa balaa
 
Pole mwaya.. naimani ipo cku utampata akupendaye kwa dhati. Mapenzi ndivyo yalivyo ni kama kutia mkono kizani.

siachi kumuomba mungu naamini ipo cku ntapata wa kunipa furaha ninayoitamani.
 
Back
Top Bottom