Marekani anaogopa raia wake aidhurike hata mmoja ila kwa vita kore ni mdogo sana kwa marekani.. mi huwa nashangaa sana. watu wanaoishabikia korea ipo siku mtaanza kulalamika US anaua wasio na hatia.... "mark my word"
Raia wa US ana thaman sana
Ila wanaoishabiki N.korea wote najua ni kwa...
Hizi fact kama hizi zinaletwaga na watu wa IMAN flan hiv huko duniani huo ndo ukweli yaan.... wenzenu wanawaza ku colonize sayari ya MARS sisi bado tunajadili kama dunia ni flat au duara haya ni maajabu sana.... Msome mtu anaitwa Elon Musk mmiliki wa SpaceX Elon Musk Announces His Plan to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.