Nahisi nina maumbile madogo, naomba msaada wa mawazo

Mkuu nishachekwa sana nikiwa shule kiasi hata najua huwa hii size wanawake hawaipendi kabisa naogopa kuibwa kibamia mkuu
Sio wanawake wote wanapenda midushelele kama punda wengine wanapenda za kawaida au ndogo... Jiamin kwanza ukubwa sio kujua Mambo., unaweza kuwa na hiyo ndogo lakin ukajua kuitumia
 
Sio wanawake wote wanapenda midushelele kama punda wengine wanapenda za kawaida au ndogo... Jiamin kwanza ukubwa sio kujua Mambo., unaweza kuwa na hiyo ndogo lakin ukajua kuitumia
asante mdada ,kwa ushauri wako ntaufanyia kazi
 
Jamani mwenzenu umri wangu ni 24yr, tatizo langu nina uume mdogo ninavyojua mimi, mpaka nahisi nimepata matatizo ya kisaikolojia maana muda mwingi huwa napata mawazo san pale ninapokubaliwa na mwanamke.

Namshukuru Mungu nimejaaliwa kazi, so wanawake haiwi ngumu sana kuwapata japo huwa sipendi kuwa karibu nao kuhofia endapo itatokea nikatembea naye najua siri itatoka nina uume wa kama inch 6 urefu, na 4.9 unene.

Sijawahi kujiamini hata siku moja japo kwenye mitandao nikijaribu kuangalia wanadai 5.1'' ndo standard lakin sidhan kama hapa Tz kama ndo average maana... duu, toka tukiwa tunasoma tulikuwa tunaoga pamoja bafun na friends wote walikuwa na kubwa kuliko yangu. Nadhani hofu yangu ndipo ilipoanzia na wapo waliwah kuniambia kabisa kuwa nina mb** ndogo.

SINA FURAHA YA MAISHA KABISA NDUGU ZANGUNI. Naombeni USHAURI WENU MAANA NIPO KWENYE WAKATI MGUM SANA. NIPO SERIOUS.
1 inch=25.4cm , mzeee 6 inch sawa na 150cm duh afu unasema ndogo

Upana 4.9 inch sawa na kamq 124cm

Nazani una mabomba ya maji sio mboo mana hiyo size ya kupitisha maji ya dawasco tena yale maji machafu ni inchi 4
 
Jamaa ana kibamia,Alafu ana kitambi m'binuko,kwahiyo dushelele hata likisimama linafuchwa na jitambi.

Nakushauri,Acha kula chakula cha wavulana wa Dar(Chips Mayai ),Acha Kuongea na kuweka mikono ka'dem,zingatia kusali sana mpaka Mungu akutokee na akupe mwenza siyo uzinzi tu.
 
Nina kibamia na kina piga kazi fresh tu inch 3 na wanakisifia hadi wanakipigania jiamin wewe furahia uumbaji wa mola wako
 
kuwa shoga kabisa tujue moja........mwanaume gani wewe hujiamini.......watu wana kiuboo kama kidole cha mwisho lakini madem wanapapatikia kwa utamu wewe una 6inch unabwabwaja kama bata aliefumaniwa,,,,pyumbafu kabisa wewe
 
Jamani mwenzenu umri wangu ni 24yr, tatizo langu nina uume mdogo ninavyojua mimi, mpaka nahisi nimepata matatizo ya kisaikolojia maana muda mwingi huwa napata mawazo san pale ninapokubaliwa na mwanamke.

Namshukuru Mungu nimejaaliwa kazi, so wanawake haiwi ngumu sana kuwapata japo huwa sipendi kuwa karibu nao kuhofia endapo itatokea nikatembea naye najua siri itatoka nina uume wa kama inch 6 urefu, na 4.9 unene.

Sijawahi kujiamini hata siku moja japo kwenye mitandao nikijaribu kuangalia wanadai 5.1'' ndo standard lakin sidhan kama hapa Tz kama ndo average maana... duu, toka tukiwa tunasoma tulikuwa tunaoga pamoja bafun na friends wote walikuwa na kubwa kuliko yangu. Nadhani hofu yangu ndipo ilipoanzia na wapo waliwah kuniambia kabisa kuwa nina mb** ndogo.

SINA FURAHA YA MAISHA KABISA NDUGU ZANGUNI. Naombeni USHAURI WENU MAANA NIPO KWENYE WAKATI MGUM SANA. NIPO SERIOUS.

The size of the ship doesn't matter, what matters is the motion of the ocean ...
 
Jamani mwenzenu umri wangu ni 24yr, tatizo langu nina uume mdogo ninavyojua mimi, mpaka nahisi nimepata matatizo ya kisaikolojia maana muda mwingi huwa napata mawazo san pale ninapokubaliwa na mwanamke.

Namshukuru Mungu nimejaaliwa kazi, so wanawake haiwi ngumu sana kuwapata japo huwa sipendi kuwa karibu nao kuhofia endapo itatokea nikatembea naye najua siri itatoka nina uume wa kama inch 6 urefu, na 4.9 unene.

Sijawahi kujiamini hata siku moja japo kwenye mitandao nikijaribu kuangalia wanadai 5.1'' ndo standard lakin sidhan kama hapa Tz kama ndo average maana... duu, toka tukiwa tunasoma tulikuwa tunaoga pamoja bafun na friends wote walikuwa na kubwa kuliko yangu. Nadhani hofu yangu ndipo ilipoanzia na wapo waliwah kuniambia kabisa kuwa nina mb** ndogo.
[/B]
Tena usijarbu kumla demu cha msingi anza kupga nyeto
 
Ukijiamini nakujikubali everything gonna be Ok. Otherwise you will suffer..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom