Nahisi nina maumbile madogo, naomba msaada wa mawazo

Nzanzu mb hujui kifurush cha mazungumzo ila kwa mb za hapa anamaanisha mboo
 
Wewe jiamini na ulichopewa mtafute ambae anaridhika na wewe sio kila mtu anapenda mguu wa mtoto
 
Jamani mwenzenu umri wangu ni 24yr, tatizo langu nina uume mdogo ninavyojua mimi, mpaka nahisi nimepata matatizo ya kisaikolojia maana muda mwingi huwa napata mawazo san pale ninapokubaliwa na mwanamke.

Namshukuru Mungu nimejaaliwa kazi, so wanawake haiwi ngumu sana kuwapata japo huwa sipendi kuwa karibu nao kuhofia endapo itatokea nikatembea naye najua siri itatoka nina uume wa kama inch 6 urefu, na 4.9 unene.

Sijawahi kujiamini hata siku moja japo kwenye mitandao nikijaribu kuangalia wanadai 5.1'' ndo standard lakin sidhan kama hapa Tz kama ndo average maana... duu, toka tukiwa tunasoma tulikuwa tunaoga pamoja bafun na friends wote walikuwa na kubwa kuliko yangu. Nadhani hofu yangu ndipo ilipoanzia na wapo waliwah kuniambia kabisa kuwa nina mb** ndogo.

SINA FURAHA YA MAISHA KABISA NDUGU ZANGUNI. Naombeni USHAURI WENU MAANA NIPO KWENYE WAKATI MGUM SANA. NIPO SERIOUS.

Mavideo ya ngono yamekuharibu ww
 
Hiyo inatosha, nenda kaikuze ushindwe kuinyanyua i.e. kuisimamisha!!!
 
jamani
hebu njoo nikuone

maana ni kweli kabisa tatizo limekuathiri kisaikolojia
 
Masikhara haya, una uume wenye unene wa inch 4.9? Hii ni size ya mabomba yanayotumika kujenga mfumo wa maji machafu kuelekea kwenye lile shimo kubwa.
Acha uongo... chukua uzi alafu pima urefu wa mashine yako. Alafu urefu huo zungusha kwenye uume wako... nakusaidia kulinganisha kati unene na urefu. Lete majibu hapa. Unene wa mashine yangu unalingana na urefu... kwa maana hiyo mashine ya mtoa uzi ni nyembamba.
Teeh inaweza kusaidia pia...
Sio diameter ni circumference.
 
Jamani mwenzenu umri wangu ni 24yr, tatizo langu nina uume mdogo ninavyojua mimi, mpaka nahisi nimepata matatizo ya kisaikolojia maana muda mwingi huwa napata mawazo san pale ninapokubaliwa na mwanamke.

Namshukuru Mungu nimejaaliwa kazi, so wanawake haiwi ngumu sana kuwapata japo huwa sipendi kuwa karibu nao kuhofia endapo itatokea nikatembea naye najua siri itatoka nina uume wa kama inch 6 urefu, na 4.9 unene.

Sijawahi kujiamini hata siku moja japo kwenye mitandao nikijaribu kuangalia wanadai 5.1'' ndo standard lakin sidhan kama hapa Tz kama ndo average maana... duu, toka tukiwa tunasoma tulikuwa tunaoga pamoja bafun na friends wote walikuwa na kubwa kuliko yangu. Nadhani hofu yangu ndipo ilipoanzia na wapo waliwah kuniambia kabisa kuwa nina mb** ndogo.

SINA FURAHA YA MAISHA KABISA NDUGU ZANGUNI. Naombeni USHAURI WENU MAANA NIPO KWENYE WAKATI MGUM SANA. NIPO SERIOUS.
Polee Sana endelea kujistressisha,jipe stress za kutosha had itafka SKU utajua maisha sio MB tu!! Unaweza ukaish hata usipokuwa nayo!!
Au take risk hangaika na haya madawa lakini ujue unaweza ukaipata afu ukawa hanithi!!
Labda Kama wapo waliofanikiwa watakwambia
 
Ukiwa na baiskeli ukimtamani mwenye pikipiki ni kweli unakuwa na uchungu upate ila unajiumiza sana muangalie mwenye kutembea kwa miguu ndo utajua kuwa unaafadhali pana watu ukubwa wa MIPINI yao kama battery ya remote na wameridhika sembuse weye?
 
Kama kinakukera king'oe ijulikane kabisa huna kuliko kuwa nayo halafu unajiliza liza.
 
nch 6 n ndogo jaman, inatosha kabsa kuwagegeda hawa viumbe heb jiamin kjana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom