Kama wamekuwa wasaliti, basi maamuzi ya kamati yatakuwa sahihi tu. Bora kuwapoteza wawili kwa ajili ya kulikomboa Taifa. Mimi sina wasi wasi na maamuzi ya CHADEMA maana ni chama chenye watu Makini, hivyo hata maamuzi yao yatakuwa ni maamuzi makini.
Ok, majina yametajwa. Swala ni je, hatua zitachukuliwa dhidi yao? Au ndo itakuwa habari ile ile ya siku zote kuwa, "bado uchunguzi unafanyika, na ikithibitika kuwa wanahusika watachukuliwa hatua" wakati saaingine ushahidi unakuwepo wa kutosha? Napenda niwakumbushe Watz kuwa serikali yetu siyoooo!!!
Hivi Tanzania hii mpaka lini na CCm? Wenye macho kuweni makini na serikali hii, vinginevyo sisi pamoja na vizazi vyetu tutajuta na vizazi vyetu vitatulaumu. SHIME!
Serikali yetu inapaswa kuwa makini zaidi ili kupunguza usumbufu pamoja na gharama ambazo si za lazima. Fikiria wanaopanga upya hayo matokeo hawalipwi? Kama wanalipwa, hiyo ela inatolewa katika mfuko gani? Our gvt. be careful, wakati huo tukijiandaa kubadilisha mfumo mzima wa utawala wa nchi hii...
Hii ni mada nzuri ya kuwaelimisha wananchi juu ya haki zao. Tatizo kubwa la hawa mapolisi ni elimu ndogo na mtazamo hasi, (negative). Pili, hawataki kujiongeza kwa kusoma vitabu vya sheria pamoja na majarida mbalimbali ili kuji-up date. Akishapewa gwanda anadhani kamaliza yote, yote wapi? Naweza...
wakenya hawajadhihaki bunge wala nini. hiyo ndiyo hali halisi iliyoko bungeni Tanzania. Kwanza hata kuliita Bunge tukufu ni kama kuzalilisha UTUKUFU kama UTUKUFU. Naweza kuungana na msemaji aliyesema kuwa Tz hatuna Bunge bali kijiwe tu cha bunge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.