Madame A, kwa hyo hata ww unasaliti mpenz wako?mmmh kwel hakuna msichana mwaminifu
Usininukuu vibaya, sijasema kuwa nasaliti. Sijawahi kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja, kwanza nguvu hizo sina. Ila nilichokuwa namaanisha ni kuwa USALITI mwingi kwenye mahusiano unasababishwa na wahusika wenyewe. Kila mtu anahitaji kupata tulizo la moyo kutoka kwa mwenzi wake. Sasa inapotokea kuwa mwenza wako ha-feel maumivu yako, mara nyingi wengi hukimbilia kutafuta faraja sehemu nyingine. Ndio maana siku za karibuni wanawake wengi wamekuwa wakisariti ndoa zao kitu ambacho zamani ilikuwa nadra kutokea.