Natamani warushe makombora yatue Washington D.C au New York
Marekani miaka yote anafanya vurugu kwa kuwa ardhi yake haiguswi hivyo haathiriki kiuchumi wala kijamii
Kuna upumbavu mwingi ulikua unafanyika kwa makusudi kwa kuw wajinga wanaofany walijua faini ni ndogo watalipa na maish yanaendelea. Kuna timu imeshapigwa faini za kutosha kosa la makusudi kupitia geti lisiloruhusiwa. Hata hiyo Machi 7 walifanya ujinga wa makusudi kwa kuwa walijua udhaifu wa...
Hahaa haaaa sawa tutawalipeni. Sisi tuliandik barua moja tu kuwa hatuchezi. Ila ninyi naona karibia kila wiki mnakuja na press. So shikilieni msimamo wenu na nyie tuone mwisho wake.
Tangu Nyerere ametoka madarakani mpaka leo imepita takribani miaka 40 bado mnaendelea kumlalamikia tu ! Chukueni hatua kuboresh hayo mapungufu mnayoyaona.
Kuna ngazi tofauti za Uafisa Elimu na uteuzi wake
1. Afisa Elimu Kata - Mteuzi ni Katibu Tawala Mkoa (RAS) hapa mkuu wa Mkoa anaweza kuingilia fasta sana.
2. Afisa Elimu Taaluma,Takwimu,Watu wazima au Mkuu wa Idara mwenyewe-Mteuzi Katibu Mkuu.
Je Mke wa Gambo alikua Afisa Elimu gani ?
Kama ni...
Ndio maana wewe sio Rais wa Tanzania na kwa fikra hizo hauwezi kuwa.
Umesahau ujinga mmoja, mwekezaji mmoja kwenye timu moja kudhamini timu nyingine zaidi ya 5 kwenye ligi ile ile.
Aaah umesahau ujinga mwingine, klabu kuwa na wanasheria vilaza ambao hawashindi kesi.
Kwamba wana simba wanafahamu nini. Ukweli ni kwamba mashujaa wamezingua wenyewe.
Mchezaji anajua kabisa ana kadi ya njano bado anapoteza muda. Anategemea nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.