Je? Ww ni mkulima na umekuwa ukipata usumbufu wa kuhangaika na mbolea za viwandan kama dap can urea nk usitaabike tena jibu ni mbolea ya asili isiyo na kemikali ni nzuri kutumia katika mimea kama mahindi pamba mbogamboga maharagwe nk kazi ya mbolea hii ni kama ifuatavyo: 1.inaongeza uwezo...
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 33 ninaishi na VVU natafuta mwenza ambaye naye ana VVU umri 33 had 40 mm ni mwajiriwa katika kampuni moja tafadhal nipo serious mimi natumia dawa na nipo na afya njema huwezi nijua naomba kwa aliye serious anitafute kwa pm na awe mkristo maana mimi ni mkristo.
Wadau habari zenu,
Mimi nilikuwa na mpenzi wangu sasa baada ya kuwa na kwa takriban mwezi mmoja tukiwa wapenzi tukaamua kwenda kupima bahati mbaya mwenzangu alikutwa ana maambukizi na tayari tulishaduu naye na yeye tayari alishaanza kutumia ARV maana alikuwa na cd4 count 97.
Mimi niliambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.