Wanasiasa wote wana njaa...wanawachota akili mnakua misukule yao...wote wezi hakuna cha tawala wala pinzani
huo ndo ukwel mtupu wanapelekwa bila kujijua ka mazombi
Wanasiasa wote wana njaa...wanawachota akili mnakua misukule yao...wote wezi hakuna cha tawala wala pinzani
Yaani haijulikani km tunaenda mbele ama tunarudi nyuma
Wanasiasa wote wana njaa...wanawachota akili mnakua misukule yao...wote wezi hakuna cha tawala wala pinzani
Sio kweli,mbona mimi nimeshiba?
watanzania wengi bado hawajawasoma vizuri wanasiasa,
umenichekesha sana. Sasa ndiyo watu wataelewa kazi ya mabere marando ilikuwa nini hapo. bado mzee mzima apson! weye chezea serikali ya professor JK
Nguvu ya mabadiliko nilikuwa naiheshimu sana, ila kwa sasa niko nimeduwaaa tu sielewi cha kufanya.
Kweli tembelea Tz uyaone!!
Mwal nyerere huko uliko, fanya hata muujiza mmoja, maana hili jahazi linazama na hatuoni wa kutuokoa.
Mh.hii ya mwaka huu kiboko yetu watz.
Siasa ni uhuni kuliko uhuni wenyewe.
Najribu kufikiri kwa sauti.
Maajabu mengi hutokea Africa hususani Tanzania. Mlima mrefu kuliko yote baani Afrika uko Tanzania.
Fuvu la Binadamu wa kwanza liligundulikaTanzania. Na hata kikombe cha babu kilitokea TZ.
Kwa jinsi CCM ilivyo chafu hata aje malaika kutoka mbinguni naye atabadilika na kuonekana mchafu na kwa jinsi CHADEMA ilivyo safi hata akija Lucifer akagombea kupitia CHADEMA atabadilika na kuonekana msafi sana.
Fumbo mfumbie mjinga,mwerevu atakuumbua!
wapiga kura tupo tumetulia, twangoja oct 25 ifike...
CCM ni chafu halikadhalika CDM,
wanasiasa badilikeni, tunawaona mnavofanya madudu yenu ,mnavojitahidi kupaka rangi penye uchafu,
Nyie cdm & ccm hamna lolote wote wachafu
Loh!!!!.....Hii safari sijui tuipe jina gani?