Jamani wakuu mwenye namba ya mafundi wa ttcl wa survey wanao patikana mwanza anisaidie maana ofcn kwao nazungushwa tuu hata kuonana na fundi imekua mtihani nataka nifunge mapma ili kipindi Cha mfungo kue na internet home
Habari za Muda huu wa ungwana...
Naomba ushauri juu ya VPN ya kulipia kati ya Your freedom na Droid VPN ipi ni nzuri zaid kulipia? Pia kama unafahamu VPN nyingine nayoweza kutumia tofauti na hizi mbili itakua vyema ukinisaidia kuipata.
Nahitaji VPN yenye speed at least ya 1mbps na isio kata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.