Leo nimesikia aibu sana

Leo nimesikia aibu sana

Sasa kakosea wapi, unajua wengi mlio soma enzi za Nyerere mnaona kuongea kiswahili ni lazima hata kama hutaki.......njoo ofisini kwangu if you can't answer in Engilish just quite, wakati mimi ni msahili kabisa. Kila lugha inawakati wake.
Quite = quit, Engilish = English
 
Nchi za watu wanaojielewa kama hujui lugha yao hupati huduma hata uongee lugha ya malaika.
 
If you can't answer in Engilish just quite? 😂😂😂😂 Ndio maana wakenya na wanaijeria wanatudharau 😂
Halafu anakwambia ofisini kwake ni mwendo wa kiingereza just "quite" na anaamini anajua kiingereza.
 
Sasa kakosea wapi, unajua wengi mlio soma enzi za Nyerere mnaona kuongea kiswahili ni lazima hata kama hutaki.......njoo ofisini kwangu if you can't answer in Engilish just quite, wakati mimi ni msahili kabisa. Kila lugha inawakati wake.
Kama Kiingereza chako unachokitolea macho huko ofisini nd'o hiki ni "broken" sana mkuu.
 
Ya
Leo bwana nilikwenda supermarket moja hivi, nilipongia nikakuta kuna kifoleni kidogo kwani mbele kulikuwa na mteja ambaye anaongea English, Kiswahili hajui ilikuwa ni wakati wakulipia na muuzaji nae Kiingereza hajui, niliumia sana kwani yule mteja mimi namjua ni dada wa Kimakonde na kaolewa na mzungu, anajua Kiswahili vizuri tu nahisi kushinda Kiingereza chenyewe.

Nilikaa nikasema why anafanya hivi lakini, huyu dada nilishawahi hata kucheza naye pool table ni Mswahili kabisa na ni Mmakonde kwa wazazi wake Mikoroshoni, kasoma Msasani Primary School.
Yani me ningekwambia we em tutolee kiingereza chako cha Msasani Primary.
Alf tuone.
 
Sasa kakosea wapi, unajua wengi mlio soma enzi za Nyerere mnaona kuongea kiswahili ni lazima hata kama hutaki.......njoo ofisini kwangu if you can't answer in Engilish just quite, wakati mimi ni msahili kabisa. Kila lugha inawakati wake.
Kimombo ka kimombo Faamasiala ww🤣🤣🤣
 
Who I am doesn't
"Excuse me, who do you think you are??"
Who I am doesn't matter. What matters is what I can do to you. I can make you defecate your intestines. Watch out!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom