Anahitajika web developer haraka sana. Awe na uwezo wa kufanya coding from scratch ili atengeneze website ya chuo yenye muonekano kama hii hapa (bofya linki)
https://www.bethel.edu/seminary/
Website ya pages si zaidi ya kumi
Website iwe interactive yaani iwe na kipengele cha online application...
Haina gharama yoyote zaidi ya gharama za kawaida za kusajili line. Nenda kwenye duka la mtandao husika sio kwa wale wanaosajili mitaani. Waeleze shida yako. Wao watangaalia kwenye system kama namba unayoitaka ipo utasajiliwa lakini pia inawezakana ukapata mfanano wa namba kadhaa na sio zote.
Mi...
Wanahitajika mabinti wa kufanya usafi kwenye shirika. Umri usizidi miaka 30. Lazima awe mkazi wa Manispaa ya Morogoro. Kwa maelezo zaidi piga au tuma meseji 0652 626 342
Wana JF Nisaidieni kuwafikishia ujumbe huu wahusika
Baraza/Shirikisho la wauguzi na wakunga Tanzania (TMNC)ni wiki ya pili sasa nimekua nikijaribu kuwafikia kupitia tovuti yenu. Lakini kila nikiifungua inaniletea maelezo haya HaCKeD By BK NF. kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya mtandaoni sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.