Recent content by Digital Marketer

  1. D

    JamiiForums Tanzania Programmers na marketers wanahitajika

    Za mida wadau, hii ni kwa watu ambao wapo vizuri kwenye kutengeneza websites pamoja na mobile apps, kwa upande wa pili kama kuna watu wanajua marketing vizuri nawakalibisha, naomba inbox namba yako ya simu na uwezo wako
  2. D

    JamiiForums Tanzania Msaada/Utata kuhusu kibali cha ujenzi maeno ya Kigamboni

    Za mida wakuu, nimekua napata sana utata kuhusu Vibali vya ujenzi na bei zake, kama kuna mtu anafaham Naomba msaada hususani maeneo ya Kigamboni. Wtu wanasema bei ambazo sizielewi.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Ukweli umepinduliwa, na uongo umeibuka kwa kasi ya 6G na ukiwa na wafuwasi wengi kupindukia

    Wakuu za mida, Heri ya sikukuu ingawa wengi wetu tupo ndani. Dunia inaenda kwa kasi ya 6G till inatia huruma na wasiwasi. Mayuda tumekua wengi na tukipata support ya kutosha isiyo ya kawaida. Wakina Petro wanapingwa kwa mawe na matusi ya kutosha.... Inafika wakati hata JF mtu anaandika...
  4. D

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Sleeping crisis [emoji75]
  5. D

    JamiiForums Tanzania EXCLUSIVE: Wanaohitaji Michoro ya Ramani za Nyumba ndogo na simple

    Wakuu nawafata pm amjibu [emoji848]
  6. D

    JamiiForums Tanzania EXCLUSIVE: Wanaohitaji Michoro ya Ramani za Nyumba ndogo na simple

    Kama kichwa hisika, nahitaji ramani ya nyumba ya vyumba vitano, ila bajeti yangu kwa ajili ya ramani ni ndogo kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa hiyo bajeti ambayo tunaweza negotiate karibu sana [emoji1488]
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kufanikiwa ondoka nyumbani kwenu

    Mafanikio hayaji sehemu uliyozoea, Mafanikio sio tabia za kila siku, Mafanikio sio watu walewale kila siku, Mafanikio ayachekei mtu, Mafanikio ni ujasiri hata kama mbele unaona giza nene. Mafanikio ni maamuzi magumu ambayo mda mwingine inakubidi ukosane na watu wakaribu sana na muhimu katika...
  8. D

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    [emoji30][emoji30] Kwaiyo Natakiwa kulipa Daaaaa! Afhali hata wasingeweka [emoji24]
  9. D

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    [emoji848] Waliniekea umeme juzi kumbe zile unit wanazoweka ni madeni ??
  10. D

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco Mbona sielewi ?
  11. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ukweli kuhusu ndoto

    [emoji848] Sawa mkuu!
  12. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ukweli kuhusu ndoto

    Eti ni kweli kumuota mtu inatokana na yeye kukumisi ama?
  13. D

    JamiiForums Tanzania Have you noticed that some of the most intelligent and deep thinking individuals out there fail to be happy?

    [emoji16] Nimeacha kua intelligent tangu 2014.....kiukweli am so happy... Intelligence kills [emoji22]
Back
Top Bottom