Recent content by Dig the EA

  1. D

    Fursa ya biashara ya hospitali kubwa iko kanda ya ziwa

    Ha ha ha! Utakuwa hujui vitu vingi vunavyohusu Afya. Fuatilia idadi ya magonjwa yaliyopo Kanda ya ziwa, fuatilia idadi ya watu iliyopo Kanda ya ziwa harafu fuatilia idadi ya hospital au hospital za rufaa zilizopo Kanda ya ziwa. Utanielewa..... Naitetea Kanda ya ziwa, naisemea ipate hospital...
  2. D

    Fursa ya biashara ya hospitali kubwa iko kanda ya ziwa

    Nilikuwa sijakusoma vzr hapa, kwamba kanda ya ziwa ni masikini mno, hiyo nasema hapana. Kanda ya ziwa watu si masikini kihivyo. Hata BoT mwaka huu mwanzoni wamesema kuwa Kanda ya ziwa ni Kanda ya pili baada ya pwani kwa kipato kizuri. Ninachoungana na wewe ni kiwango kidogo cha watu kuwa na...
  3. D

    Barabara ya kutoka Busweli hadi Nyamhongolo

    Siyo route hiyo, niauliza ya kupita Nyamadoke
  4. D

    Barabara ya kutoka Busweli hadi Nyamhongolo

    Kumbe haijajengwa ? Ina hatua gani? Au ikoje ?
  5. D

    Barabara ya kutoka Busweli hadi Nyamhongolo

    Inawezekana sinaeleweka vzr.... Ni kutoka Buswelu kupita Nyamadoke hadi Nyamhongolo. Achana na kupita Sayona, hiyo ni barabara tofauti, ni nyingine!
  6. D

    Barabara ya kutoka Busweli hadi Nyamhongolo

    Uko sahihi... barabara hiyo iko jiji la Mwanza
  7. D

    Barabara ya kutoka Busweli hadi Nyamhongolo

    Salamu waungwana. Napenda kuuliza, anayejua hali ya barabara ya kutoka Buswelu hadi Nyamhongolo kupitia Nyamadoke ilivyo aniambie. Mara ya mwisho nilisikia kuwa barabara hiyo kutoka Buswelu mbogamboga- Nyamadoke- Nyamhongolo inajengwa kwa kiwango cha Lami; je ni kweli imejengwa hivo ? Kama...
  8. D

    Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

    Umetaja zaidi madhara au effect za sex. Ebu fafanua biologically jinsi sex inavyofika kwenye nafsi na kuwa chanzo cha matatizo. Kumbuka sex ni physical (biologically), kivipi iwe au ifike spiritual?
  9. D

    Ipi ni tofauti ya mwili, nafsi na roho?

    Umeeleza vzr sana. Kwa maneno mengine rahisi (tukianza na mwili) mwili ni hii body (housing) tunayoiona. Ambayo kiuhalisia imejaa sense organs na organs nyingine ndani kufanya mwili uwepo. (Kwenye mwili ulieleza vzr sana). Soul ambayo ni roho, kiuhalisia ni Ile nishati iliyopo kwenye ubongo...
  10. D

    Jiji la Mwanza kuna kitu hakiko sawa

    Ebu imagine lile daraja likamilike, magari yaanze kumwagika yakitoka huku na kule, unadhani foleni ya Usagara hadi mjini itakuwaje ?
  11. D

    Jiji la Mwanza kuna kitu hakiko sawa

    Habari Wana jamvi? Naomba kutoa mawazo yangu kuwa Kuna jambo haliko sawa jijini Mwanza hususani swala la miundombinu. Jijini Mwanza hakuna miundombinu au barabara za kiwango cha jiji Kama ilivyo kwa majiji mengine. Barabara ndani ya jiji la Mwanza ni ndogo, na za zamani. Ukiangalia barabara ya...
  12. D

    Namna gani ya kumkwepa mwanamke anayejitongozesha?

    Ukimpotezea hata week, bado anakutafuta !
  13. D

    Namna gani ya kumkwepa mwanamke anayejitongozesha?

    Wanawake wa siku hizi utakuwa huwajui!! Wala, hakuna interest, yeye tu ! Anaomba namba, anakuchatisha nk...
  14. D

    Namna gani ya kumkwepa mwanamke anayejitongozesha?

    Wanawake wa siku, utakuwa huwajui ?
Back
Top Bottom