Fursa ya biashara ya hospitali kubwa iko kanda ya ziwa

Unajua any serious investor kitu cha kwanza kuangalia ni economic power ya watu, kwa lugha rahisi , kanda ya ziwa ina watu weye kipato cha ufanya hosipitali kaa hio nijenge kaa mimi ni muweezaji? mkuu kuwekeza katika sector ya afya, yaani kujenga hosipitali kubwa kule kanda ya ziwa ni hela mingi mno, ni makuni ya mamilioni ya dollar za marekani, kukiwa na utafiti wa kutosha kipato ni sawa, then kuinvest sio shida, lakini kwa maoni yangu, kanda ya ziwa ni masikini sana, watu wengi wana umasikini sana, kutokana na elimu duni ya watu wengi wa kanda la ziwa, wengi , wengi mno, ni wa darasa la 7
 
Unajua any serious investor kitu cha kwanza kuangalia ni economic power ya watu, kwa lugha rahisi , kanda ya ziwa ina watu weye kipato cha ufanya hosipitali kaa hio nijenge kaa mimi ni muweezaji? mkuu kuwekeza katika sector ya afya, yaani kujenga hosipitali kubwa kule kanda ya ziwa ni hela mingi mno, ni makuni ya mamilioni ya dollar za marekani, kukiwa na utafiti wa kutosha kipato ni sawa, then kuinvest sio shida, lakini kwa maoni yangu, kanda ya ziwa ni masikini sana, watu wengi wana umasikini sana, kutokana na elimu duni ya watu wengi wa kanda la ziwa, wengi , wengi mno, ni wa darasa la 7
Economic power haiko chini kanda ya ziwa, utakuwa hupajui vzr. Ukienda kanda ya ziwa, sehemu ambayo ilikuwa Kijiji, ukiondoka na kurudi baada ya miaka michache ka miwili mitatu hivi utakuta mabadiliko makubwa sana. Mfano mzuri ni jiji la Mwanza, Manispaa ya Kahama na Geita; maeneo hayo kila kukicha yanaendelea, yanakua kuliko kawaida. Lkn hakuna uwekezaji wowote utakaokuta umefanywa na serikali, ni nguvu za wananchi tu. Lile jiji la Mwanza hakuna chochote serikali olichojenga pale labda yale majengo ya halmashauri. Kila kitu ni wananchi tu. Nenda Kahama, nenda Geita na vijiji vya huko- hutaamini . Nitskachokukubalia ni Elimu yao, siyo pesa.
 
Kanda ya ziwa inatengenezwa jiji la Mwanza, mkoa wa Shinyanga, Geita, Simiyu, Kagera na Mara. Jumla ya mikoa 6. Mikoa hii ni mikoa na kanda yenye idadi kubwa ya watu. Ni kanda inayoongoza kwa watu wengi kuliko kanda nyingine yoyote.

Pamoja na idadi kubwa ya watu kanda ya ziwa, watu /wagonjwa wenye magonjwa serious sana na yanayohiyaji specialists hawawezi kuyapata kirahisi kanda ya ziwa ikiwemo Mwanza(Bugando). Magonjwa sugu ya kutegemea msaada wa specialist, lazima mgonjwa amfuate specialist jijini Dar es Salaam.

Hii ni kwa sababu, kanda ya ziwa hakuna hospital kubwa za maana zenye sifa ya kirufaa au kikanda zaidi ya Bugando medical center pekee. Kanda ya ziwa ukiitoa Bugando medical center, hakuna hospital nyingine yenye hadhi hata na hospital zilizopo Dar es Salaam kama; Kairuki hospital, regency medical center, TMJ, Isibinisa hospital, CCBRT, Ocean road nk. Ukizunguka katika mikoa yote ya kanda ya ziwa huwezi kukutana na hospital private yoyote yenye sifa kama hizo. Kanda ya ziwa huduma za afya nyingi binafsi zina kiwango cha kituo cha afya(health center facility), hospital hakuna, labda kidogo na kwa mbali ni kamanga tu.

Hivyo basi, akitokea Mtu, shirika, taasisi binafsi ikajenga hospital kubwa yenye sifa ya hospital au hata sifa ya referral hospital, naamini kuwa mtu au taasisi hiyo itatoa huduma kwa mamillioni mengi ya watu katika ukanda wa ziwa. Pia atatengeneza faida kubwa sana kwenye biashara yake.

Kwa nini, ukiacha sababu ya watu wengi, kanda ya ziwa ndo inaongoza kwa magonjwa ya cancer nchini Tanzania. Cancer za wanawake i.e. kansa ya kizazi na kansa ya matiti, kanda ya ziwa inaongoza. Pia inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wa circle cell anaemia. Lakini hakuna hospital yenye kutibu wagonjwa hawa. Hospital iko Dar es Salaam ambayo ni Ocean road. CCBRT iko DSM ina specialists wengi wa macho, disabled children nk lakini kuna wagonjwa wa macho wengi kanda ya ziwa kuliko DSM au pwani.

Kinachonishangaza na kujiuliza ni kwa nini hata serikali haijengi hospital kubwa yenye specialists wa kila aina kanda ya ziwa. Sielewi ni kwa nini. Ile Bugando medical center ni ya kanisa katoliki ! Kwa maneno mengine serikali haijajenga hospital kubwa kanda ya ziwa. Si jijini Mwanza, si mkoani Shinyanga, Geita, Simiyu wala Kagera. Sababu kubwa haieleweki, wawakilishi hawalalamiki, wananchi wame relax.

Ndiyo maana nikasema kanda ya ziwa kuna biashara kubwa sana ya huduma ya afya kama taasisi, shirika au mtu binafsi atajenga hospital huko. Populated areas na no advanced hospital. Nenda uwekeze kanda ya ziwa utasaidia wengi na utatajirika. Kama una shirika au NGO itonye kuwa kuna biashara kubwa kanda ya ziwa ya huduma za afya hususani level ya hospital facility.
Mkereketwa mzalendo.
Nadhani mambo ya private and public partnership (ppp) kuna sharti kwamba kama taasisi binafsi itajenga mradi mkubwa mahali basi serikali isijenge mradi wa aina hiyo hiyo maeneo yale ili kumuacha mwekezaji kufurahia soko la pale
 
Unajua any serious investor kitu cha kwanza kuangalia ni economic power ya watu, kwa lugha rahisi , kanda ya ziwa ina watu weye kipato cha ufanya hosipitali kaa hio nijenge kaa mimi ni muweezaji? mkuu kuwekeza katika sector ya afya, yaani kujenga hosipitali kubwa kule kanda ya ziwa ni hela mingi mno, ni makuni ya mamilioni ya dollar za marekani, kukiwa na utafiti wa kutosha kipato ni sawa, then kuinvest sio shida, lakini kwa maoni yangu, kanda ya ziwa ni masikini sana, watu wengi wana umasikini sana, kutokana na elimu duni ya watu wengi wa kanda la ziwa, wengi , wengi mno, ni wa darasa la 7
bro kwahyo masikini haugui..

Tena ungejua kama kuna dharura ambayo mtu hana option zaidi ya
kuuza shamba, mifugo, kuchangishana nk ni kuugua/ kuuguza.

Hata hapo Bugando, pana gharama ghali sana kwa asiyekuwa na bima..na bado kuna mbanano wa wagonjwa.

Naungana na mtoa mada..fursa ya hosptali kubwa kwa lake zone ni vacant.

Iliyopo ni BMC tu.
nayo imeelemewa na wagonjwa toka zaidi ya wilaya 30.
 
Nadhani mambo ya private and public partnership (ppp) kuna sharti kwamba kama taasisi binafsi itajenga mradi mkubwa mahali basi serikali isijenge mradi wa aina hiyo hiyo maeneo yale ili kumuacha mwekezaji kufurahia soko la pale
Kivipi? Kwa kanda ya ziwa hakuna chochote si private investors wala serikali. Hata kama ni hivo mbona serikali imewekeza DSM wakati private nao wamejazana hapa
 
Mzee baba aliliona ilo ndyo maana akaijenga chato Ila sababu serikali ya saiv haioni Yale aliyofanya Mzee yanamaana basi wanaipotezea Ila pale ilikuwa njia salama ya kuweka specialist wakutosha na vifaa vya maana ili kupunguza wimbi la watu kwenda muhimbili
 
Unajua any serious investor kitu cha kwanza kuangalia ni economic power ya watu, kwa lugha rahisi , kanda ya ziwa ina watu weye kipato cha ufanya hosipitali kaa hio nijenge kaa mimi ni muweezaji? mkuu kuwekeza katika sector ya afya, yaani kujenga hosipitali kubwa kule kanda ya ziwa ni hela mingi mno, ni makuni ya mamilioni ya dollar za marekani, kukiwa na utafiti wa kutosha kipato ni sawa, then kuinvest sio shida, lakini kwa maoni yangu, kanda ya ziwa ni masikini sana, watu wengi wana umasikini sana, kutokana na elimu duni ya watu wengi wa kanda la ziwa, wengi , wengi mno, ni wa darasa la 7
Mistari ya mwisho imejaa upuuzi na chuki...pole sana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sawa! Sababu za kupotezea hizo ndo tatizo la muda mrefu
Mzee baba aliliona ilo ndyo maana akaijenga chato Ila sababu serikali ya saiv haioni Yale aliyofanya Mzee yanamaana basi wanaipotezea Ila pale ilikuwa njia salama ya kuweka specialist wakutosha na vifaa vya maana ili kupunguza wimbi la watu kwenda muhimbili
 
bro kwahyo masikini haugui..

Tena ungejua kama kuna dharura ambayo mtu hana option zaidi ya
kuuza shamba, mifugo, kuchangishana nk ni kuugua/ kuuguza.

Hata hapo Bugando, pana gharama ghali sana kwa asiyekuwa na bima..na bado kuna mbanano wa wagonjwa.

Naungana na mtoa mada..fursa ya hosptali kubwa kwa lake zone ni vacant.

Iliyopo ni BMC tu.
nayo imeelemewa na wagonjwa toka zaidi ya wilaya 30.
pls try and understand my points sir, thank you
 
Economic power haiko chini kanda ya ziwa, utakuwa hupajui vzr. Ukienda kanda ya ziwa, sehemu ambayo ilikuwa Kijiji, ukiondoka na kurudi baada ya miaka michache ka miwili mitatu hivi utakuta mabadiliko makubwa sana. Mfano mzuri ni jiji la Mwanza, Manispaa ya Kahama na Geita; maeneo hayo kila kukicha yanaendelea, yanakua kuliko kawaida. Lkn hakuna uwekezaji wowote utakaokuta umefanywa na serikali, ni nguvu za wananchi tu. Lile jiji la Mwanza hakuna chochote serikali olichojenga pale labda yale majengo ya halmashauri. Kila kitu ni wananchi tu. Nenda Kahama, nenda Geita na vijiji vya huko- hutaamini . Nitskachokukubalia ni Elimu yao, siyo pesa.
nimekuelewa mkuu.lakini hebu jiulize kwanini hakuna hosipitali ya kisasa kada la ziwa?nafikiri tatizo ni kuwa elimu duni, so watu wanaamini mambo mubadala badala a hosipitali. lakini nakuhakikisia nitafanya research au utafiti, kaa kuko sawa, nitajenga hosipitali ya kisasa.
 
nimekuelewa mkuu.lakini hebu jiulize kwanini hakuna hosipitali ya kisasa kada la ziwa?nafikiri tatizo ni kuwa elimu duni, so watu wanaamini mambo mubadala badala a hosipitali. lakini nakuhakikisia nitafanya research au utafiti, kaa kuko sawa, nitajenga hosipitali ya kisasa.
Hakuna hospital ? Ni wapi pana hospital ukiondoa Dar inayofuatia ni Mwanza ?
 
Mkuu kwa sasa ipo UHURU HOSPITAL na KAMANGA HOSPITAL zinakimbiza dizain ya Kairuki tu.
Kanda ya Ziwa hata UNIVERSITY za SERKALI HAKUNA isingekuwa SAUT ingekuwa majanga sana. Kuna jambo halijakaaa sawa
Uko sawa kabisa! Mwanza hakuna University ya serikali. Majiji yote nchini yana Universities za serikali isipokuwa Mwanza. Kuna jambo halijawekwa wazi.

Maendeleo yaliyopo jijini Mwanza ni jitihada za wananchi tu.
 
Back
Top Bottom