Habarini mnaosoma ukulasa huu.
Dawasco shida mnayotupatia ni kubwa sana. Maji yanatoka siku moja tu kwa mwezi! Eneo la Kinyerezi Zimbili kuna barabara ya lami inayotokea Kinyerezi darajani kwenda Gongo la Mboto.
Inakuwaje maji yakitoka upande mmoja na upande wa pili haupati maji? Nina miezi...
Kila kijana alifiwa 28 awe ni mtaalamu kwa Levi ya diploma kwa fan I mojawapo. Ndio huitaji la taifa sio watu wote wawe wanajeshi.nchi haina Anita ya kutosha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mengine umeluka, kumpigisha mswaki,kumkamua Mavi na kuchimba ufuo ndani mnamokamulia na kukifukia kinyesi humo. Ukieleza usibakize kwa faida ya wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipokuwa Dubai miaka ya 2012 niligundua jambo lilionishangaza sana. Watu wengi ukiwambia unatoka africa wanakuuliza south africa? Nigeria or congo?. Unasema or no east africa, wengi ng'ambo ukisema east africa wanajua ni kenya!! Nilikuwa napata tabu kuwaelezea ni nchi tano. Tanzania wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.