Serikali yatangaza madereva wote waende kusoma kozi fupi usipokwenda huruhusiwi kuendesha gari mjini

kitonsa

JF-Expert Member
Aug 15, 2011
1,211
2,636
Leo katika pita pita zangu maeneo ya Mapipa Magomeni, kuna gari la matangazo lilikuwa linatangaza kuwa; madereva wote wa magari hapa mjini ni lazima waudhulie kozi fupi Kilwa road polisi siku ya Jumamosi.

Bila ya cheti cha hiyo kozi hakuna dereva atakaye ruhusiwa kuendesha gari. Hivyo madereva mjitokeze, msije mkusumbuliwa huko mbele.
 
Leo katika pita pita zangu maeneo ya Mapipa Magomeni, kuna gari la matangazo lilikuwa linatangaza kuwa; madereva wote wa magari hapa mjini ni lazima waudhulie kozi fupi Kilwa road polisi siku ya Jumamosi.

Bila ya cheti cha hiyo kozi hakuna dereva atakaye ruhusiwa kuendesha gari. Hivyo madereva mjitokeze, msije mkusumbuliwa huko mbele.
Hapo ni namna ya kutafuta chanzo kipya cha mapato na sii vinginevyo
Kwa hiyo siku hiyo mji utakuwa hauna huduma ya usafiri wowote maana madereva wote wanatakiwa wawe huko Kilwa road?
 
Hapo ni namna ya kutafuta chanzo kipya cha mapato na sii vinginevyo
Kwa hiyo siku hiyo mji utakuwa hauna huduma ya usafiri wowote maana madereva wote wanatakiwa wawe huko Kilwa road?
Bora hili unaweza kuhesabiwa kama vile mgomo wa madereva. Shida ni je! Wana ukumbi wa kuwatosha madereva wote au ndio ile eneo la mafunzo kuwa kama gulio hakuna kusikilizana?
 
Gharama ya kozi na makabrasha yake ni shilingi 150,000 kwa kila dreva, manina lazima mfilisiwe tu kwa kila namna.
Kuna tangazo rasmi? Mnaweza kusaidia kuambatanisha? Maana mambo barabarani yashakuwa mengi.
 
Leo katika pita pita zangu maeneo ya Mapipa Magomeni, kuna gari la matangazo lilikuwa linatangaza kuwa; madereva wote wa magari hapa mjini ni lazima waudhulie kozi fupi Kilwa road polisi siku ya Jumamosi.

Bila ya cheti cha hiyo kozi hakuna dereva atakaye ruhusiwa kuendesha gari. Hivyo madereva mjitokeze, msije mkusumbuliwa huko mbele.
Namsikitikia alietoa hili tangazo
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom