Enzi hizo wanawake walikuwa hawahesabiwi, hata mtu akiwa na watoto kumi tisa wanawake alikuwa anahesabiwa ana mtoto mmoja. Hivyo watoto wa kike walikuwepo.
Kunguni ni mdudu hatari sana, ana uwezo wa kutembea hadi kilometer mbili usiku kufuata damu. Akishapata damu anataga awe jike au dume wote wanataga Akishapata damu, ni vigumu mno kuwaangamiza, tafuteni watu wa pest control watawaelekeza namna ya kuwaangamiza
Hayo yote uliyoandika ni ukweli usiopingika haya masuala ya 50/50 ndiyo yameleta mlezi mbovu. Baba akikemea kitu au kumuadhibu watoto mama anakuja juu. Na hapo baba akipotezea ndiyo familiainakuwa ya hovyo. Mama ndiye mwenye Sauti analea watoto wote kimayai. Hapo ndipo shida inapoanzia.
Ni kweli kabisa. Kwa sababu ili simba aishi lazima swala aliwe. Na si kosa simba kula swala. Naomba nisamehewe kama nimetumia lugha isiyo ridhisha. Lakini tujue dunia ni kama pori. Mungu awabariki wote. Huruma ipate kutamalaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.