Recent content by dicksten

  1. D

    POPCORN(BISI) CHOCOLATE FLAVORED

    Habari zenu.Naomba kupata kuelimishwa juu ya utenganezaji Wa bisi za chocolate.am eager to learn.shukran sana
  2. D

    Joti na nafasi za wanawake katika matangazo, Je ni upungufu wa wanawake?

    hapo nahic kunaweza kuna sabab kama mbili...moja huo ubunifu uko mzur una mashiko na pili...nafasi hyo angechukua mwanamke isingevutia sana coz hayo matangazo yapo kama comedy
  3. D

    Kariakoo kumekucha Mabomu ya Machozi yarindima...

    hayo mabom umeyapiga ww? kwan nimeshinda mtaa wa kongo tokea asubuh cjackia k2 kama hicho.jesh haliitaji simple demonstration kama hzo to send a sms,ni neno moja tu nchi inakuwa chini yao
  4. D

    HUAWEI ascend Y300 unlock Application

    dc unlocker tafuta wataalam wakusaidie kuicrack
  5. D

    Nachukia miwani

    change of diet ni nzur kwa ajili ya eyesight bt if u get impatient.unaweza try LASIK surgery ipo kenya
  6. D

    Safari ya kuelekea Ikulu imeanza kwa kasi ya kuwapumbaza waendesha bodaboda?

    mm naona hyo idea ni nzur.ukiangalia ufaulu nchini umeshuka,w2 walio mtaani ni wengi sana so kugawa bodaboda itachangia ongezeko la ajira.kwa case ya ajal ni jukumu la kila m2.kutokuwa makini kwa madereva isiwe sababu ya kutofanya maendeleo.ckatai kwamba ajal nying sasa hv ni kwa sababu ya boda...
  7. D

    Picha ya leo

    nyc pic
  8. D

    Raha jipe mwenyewe

    duuh!nimenyoosha kwake,kip t up
  9. D

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    kuna mixture of antibiotics ambazo uki2mia mambo yanakuwa poa.cna info nyingi kuhusiana effectiveness ya netragen.xo no comment on t
  10. D

    Sponsorship for university students!!!

    kama dogo ni wa kike jaribu kuapply WAAW FOUNDATION SCHOLARSHIP ila deadline ni tar 30.mpe congra dogo lako
  11. D

    Ajira laki sita kwa vijana zina maanisha kujiajiri vijana kaeni tayari kwa fursa hii

    nafasi nzuri sana.kila anaemaliza chuo huwa na malengo makubwa ila mtaji unakuwa tatizo kubwa.sasa kwa plan kama hii inakuwa easy way 2 sucess.watz wanashida moja 2 ambayo ni kushirikiana.team work imekuwa tatizo kubwa,w2 wanataka kuchomoka peke yao hawajui makampuni meng yaliyoendelea...
  12. D

    Stop teen pregnancy....chini imeandikwaje??

    duuh nomaah!
  13. D

    Msaada jamani kila ninayelala nae harudi tena

    pole sana. do "kegel"exercise inasaidia sana kurudisha strength za muscle kwenye hyo k2.
Back
Top Bottom