Hofu ya kujiajiri ni kubwa na ndiyo maana kila wasomi wanataķa kuajiliwa na Serikali. Kikubwa ni kujiamini na kusimamia malengo yako.Fanya tathimini yako kwa kina, hangalia uzowefu wako kwa uwo Mradi wako mpya wa kujiajiri na huindae familia yako kiakili na kimazingira ili iweze kukubaliana...
Mimi kila siku nasikia utabiri wa hali ya hewa na taarifa zikitoka kwa wataalam wetu. Vipi utabiri wa tetemeko la ardhi au ni tukio linakuja ghafla bila taadhari yoyote?
Niliichunguza hiyo picha kwa makini, lakini ilinipa Shaka kama kweli yale maji yalikuwa ni mvua na badala yake niliona kama yale maji yalikuwa yanatoka chini ya ardhi kwa presure kubwa na kwenda hewani na tukio lenyewe lina Muda kidogo.
Kwa jinsi tunavyoendelea ipo haja ya Watanzania tukaanza kuchunguzana uraia wetu,kwa hali ilivyo inaonekana kuna mamuruki wa Kitanzania.Kwa mtanzania ninaemfahamu mimi si rahisi kushangilia kifo cha mwenzako hata kama ulikuwa haumpendi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.