Je, mtumishi wa ajira mpya KADA ya ualimu na afya anapaswa kulipwa posho ya kujikimu kwa siku 7 au 14 Kwa mujibu wa Sheria na kanuni za utumishi wa umma?
Ndg nawasalimu wote kwa jina la jamhuri ya muungano was Tanzania. Kama tamisemi au watu wanaohusika na tamisemi naomba mnipe ufafanuzi juu ya posho ya kujikimu kwa watumishi was ajira mpya, ukisoma standing order kifungu L.6 kinatamka posho italipwa ya siku 14 lakini halmashauri nyingi nchini...
We umesema kufikia 2040 nchi itakuwa mbali sana,mtazamo wangu upo wazi kama taifa Lina miaka 60 ya uhuru Hali ya uchumi Bado tia maji itawezekana vipi miaka 17 kuanzia Sasa uchumi uimarike kisa kuhamia Dodoma.Bila shaka Tunahitaji miujiza Katika hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.