Recent content by dibwe

  1. dibwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho: Mke wa mtu ana mzigo wangu wakuu.

    Mnh! Dunia ina mambo hii! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. dibwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni vibaya kuhuzunika na kujiskia vibaya mpenzi wako akisahau Birthday yako?

    Hakuna ubaya. Ila inaweza ikakuuma kama umetokea kwenye familia ambapo siku yako ya kuzaliwa ilikuwa inakumbukwa na kutiliwa maanani. Mfano mimi, ktk mwaka wangu wa kwanza kwenye ndoa, nilijiskia vibaya pale mwenza wangu alipo sahau siku yangu ya kuzaliwa. Ila kadri miaka ilivyo kwenda...
  3. dibwe

    JamiiForums Tanzania Access Bank yafanya mabadiliko kuendana na hali ya sasa, matawi kuunganishwa

    Doh, nimewatafakari mno walio kosa ajira hapo. Mungu tunusuru waja wako.
  4. dibwe

    JamiiForums Tanzania Clouds FM, The Super Brand

    Hivi kwani na radio nyingine kongwe zilianzishwa kwa kiki za hivi kama hawa wasafi wanavyo fanya? Je kiki zikiisha? Ndo utakuwa mwisho wa hiyo radio au?
  5. dibwe

    JamiiForums Tanzania German minister suggests voluntary colonialism for Africa. Thoughts?

    Kukiwa na hako, demokrasia... Na hayo mengine unayo yataka then that won't be colonialism.
  6. dibwe

    JamiiForums Tanzania Wabunge washangaa sheria ya mafao, wasema kipengele cha mstaafu kulipwa 25% na 75% kwa miaka 12 kilifichwa

    Dah, nasikitika sanaaa! Kweli unampangia mtu masharti magumu hivi kwa pesa aliyoichangia kwa kufanya kazi kwa jasho lake. It is so unfair...
  7. dibwe

    JamiiForums Tanzania Je, mimba itakuwa imetoka?

    Pole, sidhani kama kuna ultra sound ina onyesha mimba ya siku 25! next time usisahau mpira kuepuka haya yote.
  8. dibwe

    JamiiForums Tanzania Pale unapopewa namba na mdada wa Facebook alafu akakutumia picha yake WhatsApp

    Mbona binti mzuri kabisa huyoo!! Au ndo mmezoea walio paka karolight
  9. dibwe

    JamiiForums Tanzania Jiko la umeme lenye plate 2 linaweza kutumia umeme kiasi gani kwa mwezi?

    Wacha nisubirie na mie jibu. Maana hata mimi mtungi Mkubwa unakaa wk 3-4.
  10. dibwe

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu

    Na mimba zisizo tarajiwa ni stress jmn! Acha tutumie hizi njia.
  11. dibwe

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu

    Na kweli! Waape kimya kimya... Mimi pia nilijiapiza kutokutumia hizo njia. Nimejikuta nimepata mapacha bila kupenda. Yani nimembebea mimba mtoto akiwa na miezi 5. Baada ya kujifungua huyu nimeweke kitanzi faster! Kweli jiapizeni kimya kimya jmn. Kama hayaja kukuta huwezi elewa kabisa!
  12. dibwe

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu

    Ni bora kutumia njia hizo kuliko kutoa mimba. Na kitanzi naona ndio njia bora zaidi kwa sasa coz Haina vichocheo.
  13. dibwe

    JamiiForums Tanzania Msaada kuathirika na Msongo wa Mawazo

    Pole sana. Ungeenda kuonana Dr kwanza. Kuna vitu vinasaidia kupunguza depression. 1. Kufanya mazoezi. Jitahidi kutenga muda hata wa kutembea asubuhi/ jioni kama mazoezi mengine huwezi. 2. Kunywa maji mengi. Itapunguza migraine. 3. Jiweke karibu na Mungu. Fuata hata watumishi wa Mungu kwa ushauri...
  14. dibwe

    JamiiForums Tanzania Biko na tatu mzuka hawajawahi kumpigia mshindi simu akawa hapatikani

    Hao wa mamilioni sijawahi kwakweli!
  15. dibwe

    JamiiForums Tanzania Biko na tatu mzuka hawajawahi kumpigia mshindi simu akawa hapatikani

    Nilikuwa siamini hii michezo pia, ila nina watu wangu wa karibu wanne walio shinda, wawili walishinda biko, na wawili ni 3 mzumka. Ila sio pesa nyingi saaana! Ni hizi laki 2.
Back
Top Bottom