Recent content by Di Ty

  1. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtazamo binafsi: Hatua anazopitia mwanamke baada ya kuachika kwenye ndoa yake

    😀😀😀😀
  2. D

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Hatari kwa usalama wa wanafunzi chuo cha Ustawi—DSM: Ratiba ya masomo hadi saa 4 usiku

    DVC - Academic na Dean of students wapo serious kweli?
  3. D

    JamiiForums Tanzania Chakula kwa siku Tsh 30,000

    Achana na familia ya mke na mume. Yeye mwenyewe tu aje atueleweshe huo mchanganuo wa pesa hiyo kwa asubuhi mpaka jioni.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Kati ya haya Mawili kipi ni Bora zaidi?

    Ukubwa wa sebule upoje!?
  5. D

    JamiiForums Tanzania Matunzo kwa mwenza siyo hisani, ni lazima

    Naomba PDF yake mkuu ya hii Sheria
  6. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

    A very special kuwanyoko for you. Ndo maana mnakatwa katwa na mashoka Kama kuni.
  7. D

    JamiiForums Tanzania Bodaboda wafundishwe maadili ya kazi

    Kwa kifupi sana, Usitegemee sana mtu akutunzie Siri ambayo wewe mwenyewe umeshindwa kuitunza.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  9. D

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Wakuu, NHC 4 ni Sawa na shilingi ngapi?
  10. D

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Mkuu na PGSS 7 je? Ni shilingi ngapi?
  11. D

    JamiiForums Tanzania January Makamba acha uongo na unafiki, maneno yako kuhusu umeme huyatekelezi

    Mkuu, umeme kukatika huwa kunakuwaga na known na unknown reasons. Lakini amini nakuambia, hakuna mtu anayeamka kwake kwenda eti kukata umeme kwa makusudi kabisa... Hiyo kitu haipo. Incase una swali lolote lile uliza nikujuze taratibu mpaka uelewe.
  12. D

    JamiiForums Tanzania TANESCO nini shida, umeme sasa ni highly unpredictable, yaani kwa siku unakatika hata mara nne, tano, tutafiki kwel?

    Kwa faida yako wewe na wengineo wote mnaodhani kuwa Tanesco wanapenda kukata umeme. Ngojea nikuelezee nini huwa kinatokea. Kwanza huwa kuna aina kubwa mbili za umeme kukatika. 1. Kukatika kwa umeme kulikopangwa. ( Planned outages) 2. Kukatika kwa umeme kwa dhalura/ghafla ( Forced outages.)...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Software hizi lazima ziwepo kwenye PC yangu, wewe?

    1. AutoCAD 2007 & AutoCAD Electrical 2018 2. MapSource & Google Earth Map 3. ArcMap & QGIS 4. ArchiCAD 17 5. Ms package & Adobe reader 6. Dictionary 7. ETAP Software 8. Solidworks 2013 9. Need 4 Speed 10. MATLAB and Proteus. Hizo lazima ziwepo mkuu.
Back
Top Bottom