TANESCO nini shida, umeme sasa ni highly unpredictable, yaani kwa siku unakatika hata mara nne, tano, tutafiki kwel?

Mkuu umeme unapokatika usilalamike tu huenda sometimes wanalinda na vifaa vyako
Umeme hukatika kwa sababu nyingi ,zawwza kua za miundombinu au hata extra current kwahyo ukiona hivyo ujue kuna sababu NA NYINGINEZO
 
Huna lolote wewe!! unashindwa hata kutaja eneo lililo na shida ya umeme bali utopolo tuu.
Mbona unang'ania mimi tu nitaje nilipo?Na wengine waliosema kuna shida,mbona hujawauliza walipo,TANESCO fanyeni kazi wananchi wapate umeme wa uhakika,acheni kuhujumu nchi,umeme ni kero nchi nzima.
 
Mkuu umeme unapokatika usilalamike tu huenda sometimes wanalinda na vifaa vyako
Umeme hukatika kwa sababu nyingi ,zawwza kua za miundombinu au hata extra current kwahyo ukiona hivyo ujue kuna sababu NA NYINGINEZO
We,we,we,acha kuleta hadithi za alinacha hapa,hakuna kitu kama hicho.It seems hujui hata basics za umeme,kaa kimya.
 
Huna lolote wewe!! unashindwa hata kutaja eneo lililo na shida ya umeme bali utopolo tuu.
Sina lolote,yaani saa hizi within a short period of two minutes,umeme umekatika mara mbili!Hapana TANESCO jamani, we need some seriousness jamani.Come on.
 
Ass! Maeneo mbalimbali yapi?? Tumeomba wayataje wameshindwa kwa sababu wanaleta siasa uchwara tu mkuu!!
Unatukana wateja wanaoleta genuine grievances,hivi TANESCO mkoje?Mmefundwa kimaadili kazini kweli,dah.Umeambiwa tatizo ni la nchi nzima,Wilaya zote hakuna exception,tatueni tatizo ni kubwa.Hivi nani mwenye interest na kuwapaka matope unnecessarily ninyi?Acheni ujinga.Halafu si mmeambiwa kwa nini wateja hawataji locations zao?
 
Viwanda 8000 vimeanzishwa kwa miaka 5 na kutoa ajira milioni 8 vinatumia umeme mwingi Sanaaa ndo shida hiyo
 
Viwanda 8000 vimeanzishwa kwa miaka 5 na kutoa ajira milioni 8 vinatumia umeme mwingi Sanaaa ndo shida hiyo
Hapana mkuu,sio kweli,hatuna shida ya umeme kwa sasa,TANESCO wenyewe wamekiri hivyo.Tatizo ni either sabotage,lack of commitment and nationalism or professionalism.
 
Hapana mkuu,sio kweli,hatuna shida ya umeme kwa sasa,TANESCO wenyewe wamekiri hivyo.Tatizo ni either sabotage,lack of commitment and nationalism or professionalism.
Wanaogopa kusema viwanda 8000 no rekodi ya dunia Germany had I Leo vipo elf NNE tu,labda sabotage itakuwa mabeberu since unajua tupo kwenye vita ya uchumi na wazungu?
 
Hebu someni comment hii kutoka TANESCO(quoted),are these people really serious?Surely no.>>Kila taasisi ina taratibu za kuendesha shughuli zake.
Wakati wa kutumia hiyo kampuni(yaani kampuni ya kubadilisha nguzo bila kuzima umeme) ukifika itatumika.
Kuhusu ukaguzi .
Ukaguzi inafanyika na kubaini nguzo za kubadilisha .
Line yetu ni ndefu ina urefu takribani kilomita 300 ina nguzo nyingi.
Nguzo tulizozibani tunazibadilisha kadiri nguzo zinavyotufikia.
Bahati mbaya nyingine zimeanguka kabla hatujazifikia.
Nazidi kuwaomba tuvumiliane Katika kipindi hiki.
Ni hakika kwetu Hali itatulia."
Ndio hii ndio TANESCO bwana,wao wana utendaje tofauti na wengine,sijui wako Mars,na wanasubiri wakati "wao" wa kutumia kampuni ya kubadilisha nguzo bila kuzima umeme,sio in times of need,kama sasa,na wanategemea wananchi wasubiri,huku wakila joto ya jiwe kwa kukosa umeme.Ridiculous.
 
Mkuu nadhani nirudie,sitasema kwa kuwa mnalindana sana na mnatoa siri za wateja.Itoshe kusema kwamba kufuatana na comments za wachangiaji wengi,tatizo ni kubwa kwa hiyo litafutieni ufumbuzi.Si vigumu kujua tatizo liko wapi kama kuna team work.
Kwa faida yako wewe na wengineo wote mnaodhani kuwa Tanesco wanapenda kukata umeme.

Ngojea nikuelezee nini huwa kinatokea.

Kwanza huwa kuna aina kubwa mbili za umeme kukatika.

1. Kukatika kwa umeme kulikopangwa. ( Planned outages)

2. Kukatika kwa umeme kwa dhalura/ghafla ( Forced outages.)


1. Kwenye planned outages hapo, ni kwamba kuna siku huwa inatangazwa kabisa kwamba Tarehe fulani kitakuwa na katizo la umeme maeneo fulani kwa sababu labda ya kuboresha miundombinu ya shirika na huwa mnatajiwa maeneo yatakayoathirika... Inawezekana siku hiyo ikawa kuna matengenezo kwenye vituo vya kupooza umeme au kufanya usafi kwenye laini za umeme kwa kukata miti, au kubadilisha nguzo au kuvuta waya vizuri au Chochote ili mradi kuboresha miundombinu na kuhakikisha upatikanaji wa Huduma.

2. Kwenye forced outages hapo, ili nikuelezee na uelewe inatakiwa Usali kwanza.

Asante!
 
Kwa faida yako wewe na wengineo wote mnaodhani kuwa Tanesco wanapenda kukata umeme.

Ngojea nikuelezee nini huwa kinatokea.

Kwanza huwa kuna aina kubwa mbili za umeme kukatika.

1. Kukatika kwa umeme kulikopangwa. ( Planned outages)

2. Kukatika kwa umeme kwa dhalura/ghafla ( Forced outages.)


1. Kwenye planned outages hapo, ni kwamba kuna siku huwa inatangazwa kabisa kwamba Tarehe fulani kitakuwa na katizo la umeme maeneo fulani kwa sababu labda ya kuboresha miundombinu ya shirika na huwa mnatajiwa maeneo yatakayoathirika... Inawezekana siku hiyo ikawa kuna matengenezo kwenye vituo vya kupooza umeme au kufanya usafi kwenye laini za umeme kwa kukata miti, au kubadilisha nguzo au kuvuta waya vizuri au Chochote ili mradi kuboresha miundombinu na kuhakikisha upatikanaji wa Huduma.

2. Kwenye forced outages hapo, ili nikuelezee na uelewe inatakiwa Usali kwanza.

Asante!
Yaani TANESCO mnachekesha sana,sasa scenario zote hizo si zinaweza kupangwa as sabotage.

Anyway tuachane na hilo,hebu soma comment ya mtendaji mmoja wa TANESCO(Quoted), akielezea tatizo la umeme katika Wilaya fulani baada ya kubanwa.Inachekesha kwa kweli.Sikutegenea comment ya namna hiyo kutoka kwa mtu ambaye anapaswa kuwa na weledi lengwa.

>>Kila taasisi ina taratibu za kuendesha shughuli zake.
Wakati wa kutumia hiyo kampuni(yaani kampuni ya kubadilisha nguzo bila kuzima umeme) ukifika itatumika.
Kuhusu ukaguzi .
Ukaguzi inafanyika na kubaini nguzo za kubadilisha .
Line yetu ni ndefu ina urefu takribani kilomita 300 ina nguzo nyingi.
Nguzo tulizozibani tunazibadilisha kadiri nguzo zinavyotufikia.
Bahati mbaya nyingine zimeanguka kabla hatujazifikia.
Nazidi kuwaomba tuvumiliane Katika kipindi hiki.
Ni hakika kwetu Hali itatulia<<
Ndio hii ndio TANESCO bwana,ninyi mna utendaji tofauti na wengine(sijui mpo Mars!?),na mnasubiri wakati "wenu" wa kutumia kampuni ya kubadilisha nguzo bila kuzima umeme,sio in times of need kama sasa,na mnategemea wananchi wasubiri,huku wakila joto ya jiwe kwa kukosa umeme.Ridiculous.
 
Ndugu mteja uwe na subira mafundi wanalishugulikia suala lako kwa kufunga mitambo mipya kutoka ujerumani
 
Ndugu mteja uwe na subira mafundi wanalishugulikia suala lako kwa kufunga mitambo mipya kutoka ujerumani
TANESCO kuweni serious,sisi si watoto wa kupewa ahadi hewa.Comment hii ni ya kijinga.Tunataka mjue na muelewe kwamba mpo TANESCO kwa niaba yetu,wote hatuwezi kuwa TANESCO,so be responsible.Without being responsible you are digging your own grave.Jamaa akiamua kuipangua TANESCO mtakuja kulia.
 
Doohh, nipo Zanzibar umeme unakata balaa, sasa hivi ninavyoongea ushakatika Mara ya 3 na ni giza
 
TANESCO wanatuweka kwenye mazungira magumu sana kiukweli.Mtu uweka your lifes savings kwenye nyumba,sasa imagine inaungua kwa short ya umeme,unakwenda wapi.Wewe acha tu mkuu.Halafu sheria zetu zilivyo za kijinga sasa,huwezi kulipwa hata kama wao ndio wamesababisha.Insurance nako utazunguushwa wewee,mpaka ukate tamaa,yaani sisi bado sana kwa kweli.
Mkuu, hiyo short ya umeme inaunguzaje nyumba?
Nataka kujifunza ktk hili.
 
Back
Top Bottom