Huu ni ujinga na chuki zisizo na maana, kwani hata akimiliki ndege au meli wew kinakuuma nin? Kwanin watanzania tunachuki hivi? Kwanin na wew usipambane ukapata Mali zako na magari yako ya kifahari?
Ndo ninyi mnataka wenzenu waishi kama mashetani badala ya nyie kupambana muishi kama malaika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.