Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Mara nyingi huwa haandiki hotuba, anakuwa na data nyingi zenye mvuto na mguso hasa kwa watu wa chini, hahofii kuongea ukweli mchungu hata kama wanaohusika ni watu wa karibu, anapohutubia popote wananchi wengi sana huacha shughuli zao na kwenda kumsikiliza, waliopo maeneo mengine hawabanduki kwenye vyombo vya habari kufuatilia.
Hotuba zake hazichoshi hata zikiwa ndefu vipi, ziara zake huwa na msisimko mkubwa.
Hongera Ndugu JPM.
Hotuba zake hazichoshi hata zikiwa ndefu vipi, ziara zake huwa na msisimko mkubwa.
Hongera Ndugu JPM.