hao ni matapeli siku moja tuyaweke makampuni hapa pamoja na website ambazo zinahusika na kutapeli watu kama hao d9 pamoja na startminer.com wote ni scam stay away from them.
nimejaribu whois pamoja na ku ping server zao ila response hakuna inaonekana hawajasajiliwa tofauti na website zingine...
HIVI LISU ANAKICHOCHO AU UTI, MBONA ANAPIMWA MKOJO? MKEMIA MWAKA HUU AJIANDAE KUPIMA SAMPULI NYINGI MAANA HAWACHELEWI KUMPIMA LOWASA HAJA KUBWA NA MBOWE WAKAMPIMA USHUZI
MIONGONI MWA WATU WA MOTONI NI HAWA. UNAGAWANA JASHO LA MASIKINI (POSHO) KWA KISINGIZIO KUWA UNATETEA MASLAI YAO. SHERIA ZINAPINDISHWA WAMEKAA KIMYA HAWANA TOFAUTI NA WASALITI
MUNGU ATAWALAAN NI BORA UJIUZULU TUJUE KUWA UMEFUATILIA LAKINI UMEKUMBANA NA CHANGAMOTO KULIKO KUENDELEA KULA HELA ZA...
NAONA WENGI WANAO LALAMIKA NI WALIMU SWALI JE? KALE KA COMPUTER (LAPTOP) ALIKO KAAHIDI KIPINDI CHA KAUCHAGUZI KWA KILA MWALIMU KAMEFIKIA WAPI?
WALIMU WA ARTS MLIO MITAANI ZILE AJIRA ELFU 40..... ZIKO WAPI?
NILICHO JIFUNZA WEHENGA WAPO SAWA "UKIONA MWENZIO ANANYOLEWA ZAKO TIA H2O" YAANI HAKUNA...
NAPENDA KUWAOMBA WAISLAM WOTE KOTE NCHINI NA WAPENDA AMANI WOTE KUWA WAVUMILIVU KWANI SIKU ZOTE MUNGU YUPO NA WAVUMILIVU.
HII HALI YA KUKAMATWA KWA VIONGOZI WA DINI HUSUSANI WAISLAM INARUDISHA JUMA JUHUDI ZA KUISHI KWA UMOJA AMANI NA UPENDO MIONGONI MWA WATANZANIA
Imamu Bukhary Sheiky Khalifa...
TUNAPOELEKEA SIO PAZURI. WATU WAKIHOJI KUWA UDINI UPO NCHI HII WATAKOSEA? HEBU JIULIZE
MANENO ANAYO ONGEA ASKOFU GWAJIMA KWA FAMILIA YAKE INGEKUWA SHEKH ASHAPEWA KESI YA UGAIDI AU UCHOCHEZ UPENDE USIPENDE HUO NDIO UKWELI
MM SIJAELEWA hivi kwani MAGUFULI anaenda WAP mpaka iwe magufuli baki. AU mnamaanisha abakie madarakani mpaka kufa?
kingine mtu kutekeleza majukumu yake ni swala la kawaida sana kwa wenzetu (tena usipotekeleza wana ku brazili na south korea) kwasababu huku tushazoea viongozi wezi na vilaza ndio...
Sizani kama ndio itakuwa suluhisho sanasana bajeti ikipita vitambi vitaongezeka. Kikubwa hapo ni ukosefu wa INTELIJENSIA waongeze na kuwawezesha kukabiliana na matukio kama haya ya Hit and Run hususan ku infiltrate enemy
Nimejifunza kitu tusitegemee sana police hawa wetu kutulinda tena raia na mali zao kwani inaonekana hawana uzoefu na maswala kama haya.
Sasa wananchi bila kujali itikadi zetu tuanze kampeni yetu wenyewe ya kufuatilia hao jamaa
kutengeneza simple software kunahitaji programming knowledge. hivyo ili utengeneze unahitaji kujua programming language kama umeamua kuanza na C ni vizuri kwani hakuna programming language mbaya au nzuri kila programming language inafanya vizuri ktk upande fulani zaidi ya upande mwingine
mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.