Kwa wale software developer naombeni msaada wenu.

Really Bad idea.
Mkuu umetumia C kweli? Comparing with other languages C ni rahisi sana kwa beginner, java na higher level concepts zote zile nani ataelewa?

Can you compare
Code:
#include <stdio.h>

int main(){
    printf("Hello world!");
    return 0;
}

VS
Code:
package whatever

public class HelloWorld {

    public static void main(String[] args) {
        System.out.println("Hello, World");
    }
}

Yaani Java sio beginner friendly hata kidogo, concepts za public, static, class bado uje kwenye functions zake System.out.println yaani watoto lazima wakimbie programming.

Watu wanachoogopa C sijui ni nini? Wengi wanasema pointers sijui, there's really nothing special to it, In fact its a better language kwa beginner ajue vizuri how to access memory na kutumia resources efficiently, hizo abstractions zote zimefichwa kwenye higher level languages.

Python labda, japo dynamic typing is a mess ila angalau inaweza kuvumiliwa kwa kua na very easy syntax.
Nilikua naomba msaada wa kutengeneza ata simple program ili nijiweke vizuri
 
Nilikua nataka kufanya angalau simple project kwa kutumia C ili niwe vizuri
Checkout www.codewithc.com , they have a projects sections for C. You can get ideas for projects from there, do them on your own then compare with solutions given there.

Other places to practice is hackerrank, really puts your data structures and algorithms knowledge into practice
 
Nilikua nataka kufanya angalau simple project kwa kutumia C ili niwe vizuri
Unaweza kuchukua muda wako ukajifunza C++ pia. C ni extend-and-modify ya C kwa hiyo bado utakuwa ndani ya C unayoitaka. Mfanoa

[HASHTAG]#include[/HASHTAG] <stdio.h>

int main(....)
{
char *name = "Hilkiah";
printf("My Name is %s", name);
return 0;
}

kwenye C++ inakuwa kama hivi


[HASHTAG]#include[/HASHTAG] <iostream>

int main(....)
{
std::string name= "Hilkiah";
cout<<"My Name is: "<<cout <<"\n";
return 0;
}

so unaweza kuona basics za C zina apply kwenye C++. Ila utaongeza new Concepts hasa za OOP ambazo ni msingi imara wa programu bora.

Ila kama bado una mawazo ya kukomaa na C basi jifunze GTK+ ili uandike UIs au kama una moyo mgumu andika kwa kutumia Win32 API calls moja kwa moja.
 
Mkuu kuna weakness za kutumia framework ku develop native app (Mf cordova/phonegap) ukicompare na native language za platform husika mf java-android, c#-window phone, objective c-iOS?
Nina plan ya kutengeneza cross platform app itakayorum all devices zote, Kusoma language nyingi mm siwez kabisa .
Nadhani wengi walishaandika kirefu kuliko ambavyo ningejaribu kuandika, so pitia usome
https://www.quora.com/What-are-the-...he-Cordova-Phonegap-for-building-your-iOS-app
https://www.quora.com/What-are-the-pros-and-cons-of-using-PhoneGap-to-build-native-apps
What are the advantages of using Cordova?

TL;DR: Shortcuts always end up long! Kama ni kwa hobby au kikundi fulani kwa matumizi ya ndani sawa ila kama unataka kufanya issue serious hasa ya kibiashara, Jifunze lugha husika. BTW zaidi ya Java/Kotlin na Swift sidhani kama kuna mobile platform ya maana unaitarget. So jifunze tu!
 
Nadhani wengi walishaandika kirefu kuliko ambavyo ningejaribu kuandika, so pitia usome
https://www.quora.com/What-are-the-...he-Cordova-Phonegap-for-building-your-iOS-app
https://www.quora.com/What-are-the-pros-and-cons-of-using-PhoneGap-to-build-native-apps
What are the advantages of using Cordova?

TL;DR: Shortcuts always end up long! Kama ni kwa hobby au kikundi fulani kwa matumizi ya ndani sawa ila kama unataka kufanya issue serious hasa ya kibiashara, Jifunze lugha husika. BTW zaidi ya Java/Kotlin na Swift sidhani kama kuna mobile platform ya maana unaitarget. So jifunze tu!
Nimekupata mkuu
 
kutengeneza simple software kunahitaji programming knowledge. hivyo ili utengeneze unahitaji kujua programming language kama umeamua kuanza na C ni vizuri kwani hakuna programming language mbaya au nzuri kila programming language inafanya vizuri ktk upande fulani zaidi ya upande mwingine

mfano C inafanya viziri ktk Operating system, Python ktk networking (na hacking kwa ujumla), html ktk website n.k hivyo inabidi ujue unataka kuandika software ipi kwa ku run wap na kwa lengo gani ndio ujue programming language ipi ina faa

kama umeamua kuanza na C inabidi ujua programming basics na structure. Programming basic kama variables, objects, functions n.k
 
kutengeneza simple software kunahitaji programming knowledge. hivyo ili utengeneze unahitaji kujua programming language kama umeamua kuanza na C ni vizuri kwani hakuna programming language mbaya au nzuri kila programming language inafanya vizuri ktk upande fulani zaidi ya upande mwingine

mfano C inafanya viziri ktk Operating system, Python ktk networking (na hacking kwa ujumla), html ktk website n.k hivyo inabidi ujue unataka kuandika software ipi kwa ku run wap na kwa lengo gani ndio ujue programming language ipi ina faa

kama umeamua kuanza na C inabidi ujua programming basics na structure. Programming basic kama variables, objects, functions n.k
Asante sana
 
Unaweza kuchukua muda wako ukajifunza C++ pia. C ni extend-and-modify ya C kwa hiyo bado utakuwa ndani ya C unayoitaka. Mfanoa

[HASHTAG]#include[/HASHTAG] <stdio.h>

int main(....)
{
char *name = "Hilkiah";
printf("My Name is %s", name);
return 0;
}

kwenye C++ inakuwa kama hivi


[HASHTAG]#include[/HASHTAG] <iostream>

int main(....)
{
std::string name= "Hilkiah";
cout<<"My Name is: "<<cout <<"\n";
return 0;
}

so unaweza kuona basics za C zina apply kwenye C++. Ila utaongeza new Concepts hasa za OOP ambazo ni msingi imara wa programu bora.

Ila kama bado una mawazo ya kukomaa na C basi jifunze GTK+ ili uandike UIs au kama una moyo mgumu andika kwa kutumia Win32 API calls moja kwa moja.

Heheeeh, wewe unataka mtu aichukie programing mazima. Yaani unamshauri beginer auvagae moto wa C kwa kucall imterfaces za win32.?
 
Jaribu Python.

Python ni language ambayo ni rahisi kutumika popote na hutumika katika takriban platforms zote. Ukiachilia mbali uwezo wake, ni language rahisi sana kwa beginner kuanza kujifunza nayo, hivo ijaribu!

Chukulia PHP. PHP inasimama badala ya PHP: Hypertext Processor.

Ni language ya kutengeneza programs za web na ni rahisi sana kujifunza na umaarufu wake(umaarufu nikimaanisha kwamba kutakua na tutorials zake nyingi kwaajili ya kujifunzia). Ni language nzuri kwa upande wa server side programming.

Usijiwekee Limit kwa hizo languages!

Kuna tani nyingi za language, zote zikifanya kazi tofauti. Kama ukitaka kufanya kazi kama programmer, itakubidi ujue zaidi ya moja, hivo jifunze nyingi uwezavyo.
 
Jaribu Python.

Python ni language ambayo ni rahisi kutumika popote na hutumika katika takriban platforms zote. Ukiachilia mbali uwezo wake, ni language rahisi sana kwa beginner kuanza kujifunza nayo, hivo ijaribu!

Chukulia PHP. PHP inasimama badala ya PHP: Hypertext Processor.

Ni language ya kutengeneza programs za web na ni rahisi sana kujifunza na umaarufu wake(umaarufu nikimaanisha kwamba kutakua na tutorials zake nyingi kwaajili ya kujifunzia). Ni language nzuri kwa upande wa server side programming.

Usijiwekee Limit kwa hizo languages!

Kuna tani nyingi za language, zote zikifanya kazi tofauti. Kama ukitaka kufanya kazi kama programmer, itakubidi ujue zaidi ya moja, hivo jifunze nyingi uwezavyo.

Mkuu sijui kama umemuelewa mtoa mada yeye si beginner Bali
ana uelewa na C sasa anataka kutengeneza GUI software ya desktop
 
Nikweli mkuu

Kama lengo kuu ni GUI nafikiri mpaka hapa ushaona setbacks kadhaa ambazo kwa kufatilia kwangu wengi wameshauri ungeenda mbali zaidi nakujifunza C++ na kikubwa ni kwamba C++ haimaanishi hauwezi tumia C hapana knowledge yote unaweza kwenda tena ukaenda moja kwa moja kwenye OOP!

ukijua OOP itakusaidia sana kutumia Frameworks kama Qt na hapa wewe unaweza kuandika code zako zote kwa C ila ehemu ya kutumia data ulizo process ili labda uzi Display kwenye GUI hapo ndo unatumia Frameworks hizo ulizoshauliwa wXWidgets au QT kuna watu wanafanya hiyo sana yani coding style kila kitu ni C then little of GUI part ndo wana utilize hizo framework!

Lakini tu nikukumbushe sio lazima utengeneze GUI ndo utasema umetengeneza software tuna software nyingi tunazozijua na pengine kuzitumia kila mara na zimeandikwa kwa C !
Mfano kama umetumia Linux kidogo ntakupa mifano ya linux command line tools kama sed , awk na grep hizi zote zimeandikwa kwa C programming language!
Programs hata za windows kama openvpn.exe mbazo unazipitishia arguments e.g openvpn --dev tun --proto tcp wewe utasema kabisa bila kutumia vitu kama
Code:
#include <unistd.h>
int getopt(int argc, char * const argv[],
                  const char *optstring);
nakutumia getopt hauwezi chomoka labda uwe una argument parser nyingine.
Developers wanaenda mbele zaidi na kutumia C codes kwenye Android apps kwa msaada wa JNI kama external utilities na hii inawasaidia sometimes kuficha logic ambayo hawataki reverse engineeers ambao hawako motivated kuweza kuona code hizo maana unajua C code sio kama java code ambayo inakua compiled to bytecode!

Hivo basi fikiria idea yoyote tengeneza non-gui software yaweza kuwa interesting au labda ya weza kukusaidia hata project za mbeleni huko iwe kwenye Windows au Unix au Linux kwa kuitumia kama library ya ku accomplish project informs of .DLL au .SO!

 
Just a bit of correction kwa boss Njunwa Wamavoko wxWidgets na QT ni C++ framework. Huwezi zitumia kwa C. Na pia hizo sio UI tu, ni full-fledges TK zikiwa na Networking, Basic Audio, XML, na madudu mengine mengi. So ni far better kwa Complex real world app. Pia kwa hizo unaweza kuandika purely console app bila UI part. Only mature C toolkit ninayoijua ni GTK+.

Nadhani (namaanisha nadhani) boss alimaaniasha unaweza kuandika code zako kwenye C kama library na ukaziita kwenye UI (C++ au C). Kama ni hivyo ni sahihi kabisa na pia unaweza kutengeneza executable file ukaliita zimazima ingawa ni njia ambayo ni mbaya. Maktaba ni njia bora kabisa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom