Recent content by dexus

  1. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nateseka sana na hii simu

    Kwa ninavyofahamu,Hiyo ni restriction ya android kuanzia 13 na kuendelea , hauwezi ukapaste files kwenye baadhi ya system folders, kila kitu unatakiwa ukidownload moja kwa moja.
  2. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mlipuko huu wa Rooters za WIFI kwa kampuni za Simu ipi ni nzuri Kwa matumizi nyumbani?

    Hata mimi mkuu natumia hiyo ya voda ya 20Mbps nilinunua hiyo powerbank/UPS ya router za Airtel natumia kwenye router yangu, umeme ukikatika inapiga kazi zaidi ya masaa 10.
  3. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania INTERNET SPEED: Tuone internet speed Yako ya leo

    Voda nayolipia 115,000 kwa mwezi[emoji17]
  4. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    12V 1A
  5. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hio sio router ni hiyo power bank yenye 10400mah battery, ndo wanasema inatoa hizo voltage za aina 3
  6. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Habari wakuu, mimi nina router yangu ya 4g sasa nilikuwa nataka niitafutie power bank maana umeme wetu huu kila siku unakatika nakosa internet. Juzi kati Nilipita kariakoo katika kuzunguka nikakutana na jamaa wanauza box fulani lina custom circuit board linatumia Betri kama la pikipiki jamaa...
  7. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Juzi kati nilienda kutafuta Router kariakoo nikapata hii hapa kwa 110k. Za Tp-link na Dlink zinazosupport sim card bei yake ipo juu kidogo kuanzia 150k
  8. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wataalamu wa pc nichukue au?

    Chukua itafaa
  9. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wataalamu wa pc nichukue au?

    Unachukua kwa ajili ya matumizi gani?
  10. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tukumbushane movies za zamani za Nyumbani

    Nimeikumbuka Misukosuko.. Nikaenda kugoogle kama sijakosea jina nikaikuta youtube ,dah hizo ngumi kama mtu anavunga mabati...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kujua maana ya maneno haya na tofauti yake na matumizi yake

    Mono :Sauti inatoka kwenye chanel moja Sterio: Sauti inatoka kwenye Chanel mbili au zaidi . Left na right ,center Mfano kwenye mono kama unatumia earphone,pande zote mbili zitakuwa zinatoa sauti zinazofanana kila kitu , ila sterio kila upande unaweza ukatoa sauti tofauti.
  12. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kufahamishana games nzuri kwa watumiaji wa android na iOS

    Ndio inawezekana ila mkiingia kwenye match mtakuwa paired na watu wa Emulator. Official Emulator ya pubgm inaitwa Gameloop, ila kuna wengine ambao wanatumia dual booting windows na Android os kama vile Prime na Phoenix Os ambazo zinaperform vizuri ukilinganisha na emulator.. Alafu kwa kutumia...
  13. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada ,SMS ya mpesa kuibadilisha kuwa halopesa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  14. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninaweza kucheza games kwenye Laptop ya aina hii?

    Kwa Need for speed ataweza yale ya zamani kidogo.. Pia hata Eurotruck ataweza sema kwa Low settings.
  15. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninaweza kucheza games kwenye Laptop ya aina hii?

    Game zipo za aina nyingi, game gani unataka kucheza coz hata karata(solitaire) ni game pia.
Back
Top Bottom